Wanaume wa JF...Ngoma zisizo na mdundo mnazocheza nasi kutwa kucha huko Pm, ipo siku zitapasuka. Wanawake Tumechoka sasa!!!

Namaanisha mtu akikufuata pm unataka akwambie nn
Aseme lililomleta. Kuniambia niambie Kila baada ya nusu saa anataka nimwambie Nini, au lete story wakati yeye kakufuata si aanzishe story?
Mwingine anakupa namba nicheck WhatsApp..kha! Urafiki unajengwa, mambo ya kupeana namba na picha baadae Sana.
 
Nimependa perception yako [emoji122][emoji122][emoji122][emoji115][emoji115][emoji115]
Aseme lililomleta. Kuniambia niambie Kila baada ya nusu saa anataka nimwambie Nini, au lete story wakati yeye kakufuata si aanzishe story?
Mwingine anakupa namba nicheck WhatsApp..kha! Urafiki unajengwa, mambo ya kupeana namba na picha baadae Sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…