Elsa Marie
JF-Expert Member
- Jul 7, 2017
- 2,284
- 5,596
Inategemea unatongozwaje. Mitoto mingi humu kutongoza haijuiNi mwanamke yupi anachukia kutongozwa??
Na anyooshe mkono tumuone......!!
Njoo unikomboe jomoniNa kuja mrembo ila kuja kunianzishia uzi no
neno mwanamke lina hadhi sana, msilishushe hadhiItakuwa imekugusa
😅😅😅beef nakupendaga😅😅eti ww huwa nakufananisha sana na huyu da jane jaman nakunywa soda hapa had machoz yanatoka khaa👌👌👌👌
Merry Christmas 🎄🎄🎄 and happy new year watu wote mtakaopita Mtaa huu 🐾🐾🐾🐾🐾🐾
Mimi nataka nikutongoze hapahapa najua hutonikataaInategemea unatongozwaje. Mitoto mingi humu kutongoza haijui
Me awe na mipasho ya kiwango hiki, sijui atakuwa anafananaje muonekano wakeUnaweza kuta mleta mada ni me maana humu jf vituko haviishi.
Mwanamke ni mtu yoyote aliye na uchi wa kikeneno mwanamke lina hadhi sana, msilishushe hadhi
by the way ngoja nivunge tu.
[emoji849]Mimi nataka nikutongoze hapahapa najua hutonikataa
Mleta mada, aka DaJane pole kwa yalokusibu.
Nje ya mada, naweza kupata wapi hiyo mishumaa kwenye avatars yako. Nataka niitumie kwenye keki ya Valentine 2019.
Kurudi kwenye mada, ujue kati ya ID zinazokufata za kiume nyingine za kike. Uzoefu wangu mie, wamwkuja wengi tuu na kule nawapa ukweli wangu wote na kama wana screenshot shauri lao sababu wote wanaokuja jibu ni lilelile..... Euro 900 na kuendelea....
Hiyo mishumaa tafadhalinaihitaji sana, napenda sana kuchezea zile goroli.... Hehehehhee.
Sisi wengine watu wazimaInategemea unatongozwaje. Mitoto mingi humu kutongoza haijui
Sitaki nije pm mrembo wangu ni hapahapa Nakupenda mamyNjoo unikomboe jomoni
Itabidi tufungue darasa la kufundisha kutongoza hiyo mitoto ya humu.Inategemea unatongozwaje. Mitoto mingi humu kutongoza haijui
Hamna lolote.Sisi wengine watu wazima
sawa sawa.Mwanamke ni mtu yoyote aliye na uchi wa kike
Kwann unasema hivyo?Hamna lolote.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wapo wanaujua kutongoza jamani, mpk unajiuliza alikuwa wapi asinitongoze tangu JanuaryItabidi tufungue darasa la kufundisha kutongoza hiyo mitoto ya humu.
.
.
Daaaaah kujiita mwanaume huku ukiwa hujui kutongoza nalo ni tatizo.
Tatizo huwezi tambua mtu mzima, na baadhi ya watu wazima wengine hovyo Sana. Kiujumla jf ina watu wa hovyo hovyo wengiKwann unasema hivyo?
Hapa umetupa sifa zetu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wapo wanaujua kutongoza jamani, mpk unajiuliza alikuwa wapi asinitongoze tangu January
[emoji2]Hapa umetupa sifa zetu
Pole kwa hilo tupo wengine tunajielewaTatizo huwezi tambua mtu mzima, na baadhi ya watu wazima wengine hovyo Sana. Kiujumla jf ina watu wa hovyo hovyo wengi