Wanaume wa JF...Ngoma zisizo na mdundo mnazocheza nasi kutwa kucha huko Pm, ipo siku zitapasuka. Wanawake Tumechoka sasa!!!


😅😅😅hongera kwa maandalizi ya valentine aisee...kweli dunia haipo fair..
 
Itabidi tufungue darasa la kufundisha kutongoza hiyo mitoto ya humu.
.
.
Daaaaah kujiita mwanaume huku ukiwa hujui kutongoza nalo ni tatizo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wapo wanaujua kutongoza jamani, mpk unajiuliza alikuwa wapi asinitongoze tangu January
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…