Orayt... nikutumie kama vilivyo au kwenye muamala wa M pesa?Najitahidi kujilinda babu ila sina vikingio vile wanasema tuwe navyo.
Niletee basi ili mpango ule usije kufa
Jf. siku hizi imekaa kimtego mtego sana, wazee kama mimi haitufai tena ni kama ant virus ya sugu dhidi ya wale ma DJ.Nahisi harufu ya kuchafuliana majina
Sent from my Infinix X559C using Tapatalk
Hata M pesa sio mbaya. Ila vyovyote babu cha muhimu vikingio niwe navyoOrayt... nikutumie kama vilivyo au kwenye muamala wa M pesa?
😀😀Jf. siku hizi imekaa kimtego mtego sana, wazee kama mimi haitufai tena ni kama ant virus ya sugu dhidi ya wale ma DJ.
Basi usijali. Kwakuwa nakupenda lazima nikulindeHata M pesa sio mbaya. Ila vyovyote babu cha muhimu vikingio niwe navyo
Ahsante 🙏❤Basi usijali. Kwakuwa nakupenda lazima nikulinde
Astaghafirulilah... yaani hata wewe? Dah!
Babu Asprin hela yake anavyoichungulia unasema anachunika? Babu pesa yake imeshikana na roho
Sent using Jamii Forums mobile app
Jf. siku hizi imekaa kimtego mtego sana, wazee kama mimi haitufai tena ni kama ant virus ya sugu dhidi ya wale ma DJ.
Dah... Aisee! Yani umeamua kabisa kuniharibia mipango yangu.
[emoji23][emoji23]hakuna ubahili hapo labda kwa wajukuu zake kama Joanah
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ungana na wewe hakikisha unachukua tahadhari kujikinga. Ya sirini kuletwa upenuni ndio mambo gani haya😣😣Jf. siku hizi imekaa kimtego mtego sana, wazee kama mimi haitufai tena ni kama ant virus ya sugu dhidi ya wale ma DJ.
Haka kauzi kamekaa kichafuzi chafuzi sana mood tunawaomba huku tusije kutajwa bure
Sent using Jamii Forums mobile app