Wanaume wa JF rahisi sana kuchunwa

Najitahidi kujilinda babu ila sina vikingio vile wanasema tuwe navyo.
Niletee basi ili mpango ule usije kufa
Orayt... nikutumie kama vilivyo au kwenye muamala wa M pesa?
 
Jf. siku hizi imekaa kimtego mtego sana, wazee kama mimi haitufai tena ni kama ant virus ya sugu dhidi ya wale ma DJ.
Na ungana na wewe hakikisha unachukua tahadhari kujikinga. Ya sirini kuletwa upenuni ndio mambo gani haya😣😣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…