Wanaume wa JF rahisi sana kuchunwa

Si ndo hapo wenyewe tumeamua tuwape maua yapendezayo dunia
Dogo mbona huna adabu?! Kwanini umefanya kitu cha kishamba kama hiki!! Hata kama ni watoaji we inakuuma au ni nini kimekuwasha?!
Hela za kwako unataka uwapangie matumizi?!! Unless kama ID zote ziwe za mtu mmoja kaja hapa kujipigia pande.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…