Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Dogo mbona huna adabu?! Kwanini umefanya kitu cha kishamba kama hiki!! Hata kama ni watoaji we inakuuma au ni nini kimekuwasha?!
Hela za kwako unataka uwapangie matumizi?!! Unless kama ID zote ziwe za mtu mmoja kaja hapa kujipigia pande.
Hakuna wanaume watoaji mapesa na wapenda sifa kama wanazo kama wa humu JF
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mtu humu kaja na ID nyingine
Ipi hiyo?Jamani nitumieni na mimi kwenye no ile [emoji847]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ile ile bwana unaijua sanaIpi hiyo?
God save us
Kuna mtu humu kaja na ID nyingine
God save us
Ipi hiyo?
God save us
Nina mashaka na ID ya mleta uzi kwanza.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ile ile bwana unaijua sana
Mnajijua. Hahaha
Huyo demu uliyemtaja ni cha wote
Sasa wewe si nilikupa mchongo umekushinda
Hakuna mtu mwenye akili za kitoto kama hizo ili iweje sasaMnajijua. Hahaha
God save us
Kama mlishindwana anzieni kwangu basi [emoji847]Sasa wewe si nilikupa mchongo umekushinda
God save us
Nina mashaka na ID ya mleta uzi kwanza.
Kwanini alete bandiko baada ya kike kikao cha siku ile?
Cc Mzigua90
God save us