Ushanisahau mimi sio Dr kabisa!Huku niliadmire wanaume watatu tu.
Wawili ni washkaj zangu huwezi amini na mwingine sijui iliishiaje lakini sijuani nae nje ya JF.
Wewe nitakua nikenekusahau ila hiwezi kuwa dr... 69
Kananipotezea pesa na muda haka katoto..Nikikakamata katalipa vyote..Heeeh
Ushanisahau mimi sio Dr kabisa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Alafu ulitaype wewe then umejijibu.. dah
Sijafunga dear. Nani anataka kupishana na magari ya mshahara[emoji23][emoji23][emoji23] .Fungua pm
Hahaha umalaya wetu sisi unakubana niniKwakuwa Coment zinatakiwa ziwe fupi fupi, basi kwa ufupi kabisa "Acheni Umalaya"
Sasa hili ni ombi mdau, sio kero ya kurekebisha. Na ombi linaweza kukubaliwa au kukataliwaAsilimia kubwa ya wadada wa JF ni wabaya aisee, wabaya Haswa, mimi ushauri wangu ni huu.. Mkiwa huko mitaani naombeni muwashawishi wadad wazuri wajiunge na hili Jukwaa!
Khan!
Mesoma mpaka mwisho sijaona madukuduku kabisaa...
Nawapongeza wanaume wa jf, kiukwelii mmekomaa sasa! Mmekuwa na vifua vikuu.. Huo ndo uanaume.
Hongereni sana!
DahAsilimia kubwa ya wadada wa JF ni wabaya aisee, wabaya Haswa, mimi ushauri wangu ni huu.. Mkiwa huko mitaani naombeni muwashawishi wadad wazuri wajiunge na hili Jukwaa!
Khan!
Ni wadada au wamamaπππMimi nawasaidia kwa kuanzia
"Wadada wa jf fungueni pm zenu hizo mnapishana na magari ya mishahara"
Karibuni wanaume mtoe madukuduku yenu wadada watapita hapa kusoma ili wajirekebishe.
Location: Star baber shop Dodoma.
πππjiwe gizani mkuu humu asilimia 90 ya wanawake ni single motherAsilimia kubwa ya wadada wa JF ni wabaya aisee, wabaya Haswa, mimi ushauri wangu ni huu.. Mkiwa huko mitaani naombeni muwashawishi wadad wazuri wajiunge na hili Jukwaa!
Khan!
Asilimia kubwa ya wadada wa JF ni wabaya aisee, wabaya Haswa, mimi ushauri wangu ni huu.. Mkiwa huko mitaani naombeni muwashawishi wadad wazuri wajiunge na hili Jukwaa!
Khan!
Mahabaaa babe...bila shaka hii shikamoo ya kiutaniutani eeehShkamoo
Ndio ndio....hivi yule uliemweka status mpo watatu,wakatikati hayupo humu???Wacha weeee. Kuna yule kisu mmoja yule. Mtoto mweupeee kama anaogea maziwa
Ndio ndio....hivi yule uliemweka status mpo watatu,wakatikati hayupo humu???
Kilo chombo sio poa ni balaa
watasema unawasingiziaπππjiwe gizani mkuu humu asilimia 90 ya wanawake ni single mother