Kiwarhoapandenga
JF-Expert Member
- Aug 10, 2019
- 2,078
- 1,805
Mwinginehalafu humu jf kumejaa vibibi.
yaani ni vizee!
natania tu..
Miaka inazidi kusonga, sijafanya chochote cha maana, nipe ushauri wa kunijenga!
Jana nimetimiza umri wa miaka 24, sikuweza kusherehekea na wala sikuwahi na sikutaka kusherehekea, kwa sababu sioni cha kusherehekea, sina mafanikio yoyote Zaidi ya Ka degree niliotumia Zaidi ya miaka 16 kuitafta. Nimewaza na kuwazua mambo mengi ila kwa sasa nimeona ni busara kuja kuomba kwenu...www.jamiiforums.com
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
we jamaa vipi?Mwingine
huyu hapa atoto hakuna mkuki uliobakia
Kumbe mwenzio kipindi chote kuku admire kiherehere changu tu!
Anko,
Nitafutie chuma kizuri basi....
Mimi wahuku naogopa kukutana nao alafu nisikute chombo mwishoe nimpotezee.
Ukinihakikishia hiki chuma, mi nazamaa...
Refer picha za ontario alivyowakusanya wanaume wa humu tafuta hizo picha halaf uangalie ndio hawa wanaonanga humu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
K K sukari, ushawahi kuitumia hiyo ?
Weee unaonajewe jamaa vipi?
au nimetupa jiwe gizani nini?
kwanza we ni ke au me?
toka hapa mbele yangu..Weee unaonaje
toka hapa mbele yangu..
kaongee na wenzako huko..
Zikipatikana usinisahau best[emoji2]
aaah akapike tu huyo..Aende akapike jikoni mkuu
Hahaaaaa haya kikubwa pumzitoka hapa mbele yangu..
kaongee na wenzako huko..
Weeee nikikupikia utasahau kurudi nyumbani kwa mamaa kayaaii shauriloaaah akapike tu huyo..
Mimi nawekawadada wa JF wanatumia Avatar za mabinti warembo wakati kiuhalisia duh......kama wanabisha waweke picha zao hapa....
Zikipatikana usinisahau best[emoji2]
Unajua ukishanyea mahali unakuwa umeizoea kama takataka huyu mtu ananitafuta sana ila hajui kwamba humu halipwi wala hapewi posho so sina time na watu ambao wanamuda yeye anamuda mcheki hata akili yake inamtosha yeye sina muda na wenye nguvu za kupigana mimi ni mtu ambaye naona mbali na mbali kwenyewe ni hivi ukijibizana sana na zoba utakuwa zoba so achana na watu walionamuda wa nyenye.Unamaanisha katoto kazuri
Shiiii nnare... Mmeru +mmasai kweli hii combination ni hatari unaonekana ni mkali SanaUnajua ukishanyea mahali unakuwa umeizoea kama takataka huyu mtu ananitafuta sana ila hajui kwamba humu halipwi wala hapewi posho so sina time na watu ambao wanamuda yeye anamuda mcheki hata akili yake inamtosha yeye sina muda na wenye nguvu za kupigana mimi ni mtu ambaye naona mbali na mbali kwenyewe ni hivi ukijibizana sana na zoba utakuwa zoba so achana na watu walionamuda wa nyenye.
Ila kwa upande mwingine kwangu mimi sipendi mazoea nayeye nakama bado ananitafuta woi mimi ni mmasai siogopi kitu tunaendeleza tu na vita vile vile tena plus mmeru tunazichapa tu .