itupie mkuukutafta hela mazee ni kupga kaz kwa juhudi...kujua unataka maisha ya aina gani...kunapelekea kuweka mikakati madhubuti.....kupata wadada be humble.pochi ickauke..tengeneza body....cha mwisho ambacho huwa ni silaha inayofanya hela ustumie xana kwa wanawake..na ni deadly weapon....ntaitupia humu mda so mrefu
Sa wewe niaje! Umetufata JANDONI! Si mtusubirie huko huko Mjini!Mkipata hizo pesa ndo mtutafute sasa[emoji6] [emoji6]
Poa..am out!Sa wewe niaje! Umetufata JANDONI! Si mtusubirie huko huko Mjini!