Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Tuwatafute ili iweje..Mkipata hizo pesa ndo mtutafute sasa[emoji6] [emoji6]
Awamu hii hayo maujanja niyatoe wapi Mkuu...Leteni maujanja sasa
[emoji15] [emoji15]Njia ni moja tu.
1.Ukitaka kuzitafuta pesa piga kazi kwa bidii bila kukata tamaa.
2.Achana na mambo ya kuhonga wanawake
Kusaka Pesa+Kuhonga=Zero.
Ningekuwa na uwezo hii comment yako ningeifuta hadi kwenye server za jf.....Mkipata hizo pesa ndo mtutafute sasa[emoji6] [emoji6]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Ningekuwa na uwezo hii comment yako ningeifuta hadi kwenye server za jf.....
Mtu anatafuta hela week nzima halafu hela anaenda kuitumia siku moja tu na demu
Ahahahaah saf mkuuNjia ni moja tu.
1.Ukitaka kuzitafuta pesa piga kazi kwa bidii bila kukata tamaa.
2.Achana na mambo ya kuhonga wanawake
Kusaka Pesa+Kuhonga=Zero.
hapo hawaruki mkuuKwa hiyo huo ndio mtego wao