Selwa
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 583
- 590
Hivi kwanin thread nyingi humu ni za kuwaponda wanawake? Mara ooh wana iq ndogo mara oooh mnaoMBA omba hamuolewi yani hadi unajisikia huruma me ssijawahi kugundua ila jana nlikua nimekua na rafiki angu mmoja wa kike huku tunaa anglia tu nini kimejiri mtandaoni basi akashangaa sana kunikuta nina Acc Jf akasema kamwe hawezi kufungua Acc humu sababu humu ni mtandao wa ku ponda na kutukana wanawake. NiliBisha kidogo akanifungulia thread kama 10 akasoma moja moja hadi nikaona aibu. Mods shughulikieni hili...hatuwezi kuishi hivi wakuu.
Update.
Ukitaka kujua identity ya anaekutukana ni-pm kwa wanawake tu lakini... heheheheeh
Update.
Ukitaka kujua identity ya anaekutukana ni-pm kwa wanawake tu lakini... heheheheeh