Wanaume wa Jf walivyo!...

Mama sabrina, umeamua kumaliza kabisa, si ubakishe na ya siku nyingine, wadada wataogopa kukutana na wakaka wasiowafahamu kwa mara ya kwanza.
 
Mi nilisikiaga wanawake wa mjini wanadai mwanaume mashine, sasa huyu mama sabrina anaforce uzuri Kwa mwanaume!!
Kiukweli kama wewe Mama sabrina ni mbaya utakimbiwa tuu hakuna namna mwanamke ni pambo, dizaini ya Ua, pole sana.
 
Kweni unatujua wote tulivyo?njoo na namba simu yako pm niku whatsapp

JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…