Yaani mtu ukijijua una sura kama ya marehem Rwmmy ongala, usijisumbue kufanya miadi na mtu wa humu jf, maana mwishowe unaweza jichukia bure na kumbe kwa wengine wewe ni bonge la mrembo au handsomeNa naona hakuna mwenye kuvumilia kubaki kimya, niliona uzi moja jamaa eti alijizuia wee akashindwa ikabidi aandike tu uzi hahaha
Sisi wengine na hizi sura zetu plus ufupi na weusi huu si tutatengwa kabisa humu jamani [emoji17][emoji17][emoji17]
Sitaki mimi
Yaani mtu ukijijua una sura kama ya marehem Rwmmy ongala, usijisumbue kufanya miadi na mtu wa humu jf, maana mwishowe unaweza jichukia bure na kumbe kwa wengine wewe ni bonge la mrembo au handsomeNa naona hakuna mwenye kuvumilia kubaki kimya, niliona uzi moja jamaa eti alijizuia wee akashindwa ikabidi aandike tu uzi hahaha
Sisi wengine na hizi sura zetu plus ufupi na weusi huu si tutatengwa kabisa humu jamani [emoji17][emoji17][emoji17]
Sitaki mimi
Sawa, ila sitaki kuamini kuwa wote wakohivyoYaani mtu ukijijua una sura kama ya marehem Rwmmy ongala, usijisumbue kufanya miadi na mtu wa humu jf, maana mwishowe unaweza jichukia bure na kumbe kwa wengine wewe ni bonge la mrembo au handsome
Utashindwa kulala mrembo[emoji23]Embu tuone.
Hii kama ipo chitchat vile.......Unaonekana ushakutana nao wengi sana eee... Kwaiyo unataka wanaume wote wa jf wakugon.....
Sasa nimejua kwanini umenitenga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mama sabrina ulali [emoji1] [emoji1] [emoji1]Sasa nimejua kwanini umenitenga
Mzigua upo weweAfadhali. Ngoja nimtoe na Mama Sabrina nibaki mwenyewe.
Nipo mkuuMzigua upo wewe
Nakuona katika ubora wakoNipo mkuu
Hahahahaaa.. ubora upi tena?Nakuona katika ubora wako
Mm si nimesema tu aise nitakujibu PM kama ruksaHahahahaaa.. ubora upi tena?
Sawa.Mm si nimesema tu aise nitakujibu PM kama ruksa
PoaSawa.
[emoji124] [emoji124] [emoji124]Sawa.