Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
- Thread starter
-
- #481
OOoh G anamzidi japo mabody yanafanana lakin G wangu ni the best,we si unaona siku hizi nimepunguza kelele nimetulizwa mamaSijui ilikuwaje sikuuona huu uzi, kwahiyo G na ulimwengu nani zaidi?
Ooh kumbeee!!Huwezi amini alinifata pm na kulalamika "Mama Sabrina nakataaa hatufanani na hamorapa "nikamuambia nikuone sasa akanirushia picha nikasema we unafaa mara tukabadlishana namna ,mara siku zikapita zikaanza simu napigiwa nikamuambia piga kwa whatsapp call tu my dia,mara naulizwa zawadi,mara papp tukazamaa "Mama sabrina nakupendaa"nadhani alianza kunipenda zamani tu maana alikuwa akiingia humu cha kwanza kutafuta nyuzi asome acheke mara anyegeke
Nawe jitahidi utapataa uache mmeo au??
Akijibu ndio nimjibu kwanzaaWe unafanana na nani kati ya hizo picha?
Kabisa AzarelKuna ukweli
Debe tupu haliachi kuvuma.
Wabillah Tawfiq.
Hahaha uhenga tu ulinificha shemeji, ila nimeukataa; nimerudi hiviOoh Hallelujah Hallelujah,
Nimefurahi kukuona mtumishi wa Bwana Yesu....[emoji23][emoji23][emoji23] Aisee mimi nimekumisimo sana unajificha wapi ???
Yajayo yanafurahisha espyOoh kumbeee!!
Mmmh acha tuUlipata mbuzi kwenye gunia mama sabtina [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Lazima useme yeye ni zaidi bwana, mwamba ngoma......[emoji85] [emoji85] [emoji85]OOoh G anamzidi japo mabody yanafanana lakin G wangu ni the best,we si unaona siku hizi nimepunguza kelele nimetulizwa mama
Mbona ni ukweli kabisaJolie Ulimwengu ni chombo ila hamfikii mme wangu,halaf Hazard fanya basi iwe ukwelii jamonii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulijuaje kama ni yeye ungeuliza kwanzaSijui ilinipitaje hii .....jaman kuna mwanaume mmoja humu jf nilimwona jamani jaman jaman haha ha ha ....yaani ile kuona tu picha yake WhatsApp nilimblock mazimaaaa ...yaan hamorapa hajambo daaaah hapana kwa kweli.
Ila sio wote me nimewaona kama watano au sita wawili ndo walikua waajabu ....wanisamehe tu
Hahahaa!! Atakuwa anafanana na G[emoji85] [emoji85]Akijibu ndio nimjibu kwanzaa
Pole sanaaa ipo siku utawakutaaMmmh acha tu
Naomba aje hapa athibitisheeeMbona ni ukweli kabisa
@hazard cfc unaitwa na mama sabrinaNaomba aje hapa athibitisheee
Thubutuuu sifa za GHahahaa!! Atakuwa anafanana na G[emoji85] [emoji85]
Aisee usijifiche hivyo shemeji....Hahaha uhenga tu ulinificha shemeji, ila nimeukataa; nimerudi hivi
Nasubiri tu mualiko mie, nile ubwabwa hadi nivimbiwe. Maana sio kwa kukamatika huko, watu hatupumui kisa G!!Yajayo yanafurahisha espy