[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]Sijui ilinipitaje hii .....jaman kuna mwanaume mmoja humu jf nilimwona jamani jaman jaman haha ha ha ....yaani ile kuona tu picha yake WhatsApp nilimblock mazimaaaa ...yaan hamorapa hajambo daaaah hapana kwa kweli.
Ila sio wote me nimewaona kama watano au sita wawili ndo walikua waajabu ....wanisamehe tu
Ni zaidi zaidi anavyonijali na kunibembeleza weee sidhan kama kuna mtu humu anabembelezwa kama mimiLazima useme yeye ni zaidi bwana, mwamba ngoma......[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Kwel umetulizwa, hadi ukagoma kuniambia ile "bahati yangu" ilihusu nini!! Nimekununia[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]
Duh we ni noma ujue umeniwahi tu kuandika hii thread.Wakiwa wanaandika kwa mbwembwe na kupangilia maneno mzuri,au kutukana au kujigamba na kujitanua vyema,huku wameweka avatar nzuri na za kuvutia ,basi utafikiria unakutana na docta ulimwenguView attachment 695258afe kipa afe beki hakuna humu ndani anaemfikia docta ulimwengu kwa chochote kile,,nasi wanaume wa jf hujiona hivi wakiwa jf na ufake wao
Kiuhalisia ukiongea nao ukaenda kukutana nao unakuta mambo ni hiviView attachment 695259 yaan unajiuliza huyu si anajisemaga kuwa ana muonekano mzuri bla bla nyingi,unaishia kumkimbia ,,halaf anakuja jf kuanzisha uzi anajiwahi nimekutana na mwanamke wa jf anatishaa kweli ahahah kumbe yeye ndio kakimbiwa anatisha kama zombie na mipua yenu mikubwa kama ngumi
kiuhalisia wapo hivi,wachache sana hata ukimuona hushtuki roho wala husisimuki labda Daby anasisimua[emoji6][emoji6] Daby unilipe hii promo hii si ya mchezo mchezo kuna huyu Priceless soul siwezi kumsifia wanawake wa humu mtaniibia ni siri yangu Daby mchukueni tu sio wangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Povu ruksa maana nachoma mioyo ya wengi
Vipi mama mbona midomo imefungwa[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
Acha tu nimsifie jamani maisha mafupi sitaki hayupo ndo nimwage sifa,ananipa furaha sana sanaNasubiri tu mualiko mie, nile ubwabwa hadi nivimbiwe. Maana sio kwa kukamatika huko, watu hatupumui kisa G!!
Weeeeee wasukuma sisi wazuriii usinichanganyeee atakuwa mjaluo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilimwambia anitumie picha yake WhatsApp weeeeeee kiamaaaa hahahahaha yule lazima atakua msukuma au mkurya jaman khaaa
Umeona visanga hivyo??nimechekaa[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
We ubuyu haina nchi bwana we, G asitufanyie mtimanyongo namna hiyo.Ni zaidi zaidi anavyonijali na kunibembeleza weee sidhan kama kuna mtu humu anabembelezwa kama mimi
Mpenzi usinunee siku hizi nna raha mno mpaka ubuyu nasahau ,halaf G kaniambia niache umbea atanikazaa kihuni mapigo ya kimarekani sasa ndio najifunza kuacha ubuyuu
Ulitaka kuandika uzi kama huu?Duh we ni noma ujue umeniwahi tu kuandika hii threat.
Unawajua hawa?View attachment 751323
Nimerudi kwa nguvu zote shemeji, me mwenyewe jf kama maji[emoji13] [emoji13]Aisee usijifiche hivyo shemeji....
Haipendezi kutuachia jukwaa peke yetu
Nimecheka sana ikabidi nifiche mapengo.Vipi mama mbona midomo imefungwa
Hahahahaha toooobaaaaa nimeharibu .....wasukuma mnisamehe itakua mjaluoWeeeeee wasukuma sisi wazuriii usinichanganyeee atakuwa mjaluo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kula raha mama.Acha tu nimsifie jamani maisha mafupi sitaki hayupo ndo nimwage sifa,ananipa furaha sana sana
Sasa ntakuandikia wapi na pm anazisoma shoga nipe mudaa hahahahaWe ubuyu haina nchi bwana we, G asitufanyie mtimanyongo namna hiyo.
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Nimecheka sana ikabidi nifiche mapengo.
Ahahahah[emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahaha toooobaaaaa nimeharibu .....wasukuma mnisamehe itakua mjaluo
Hahahaaa! Nimecheka sana ndio maana nimefumba mdomo.Umeona visanga hivyo??nimechekaa