Wanaume wa Jf walivyo!...

Na nimepitwa na mengi kweli!! Hadi fudenge kawa lishetani!! Alafu kuna mambo kama siyaelewi elewi hivi!! [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
Ndio hivyo mamaa unapoteaga mnoo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]mbn mm nilikuwa napata mahb tuuuu
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]mbn mm nilikuwa napata mahb tuuuu
Una bahati yaani huyo mmoja kama vile jambazi sugu the way alivyo daah hapana kwa kweli ....humu usimwone mtu anaharisha maneno tu ukimkuta utadhani zombie
 
Hahahaaa!!
Kama nakuona unavyokaribia H.Bolt kwa mbio.
Yan nampitaaa kabisaaa huwa natoka mwendo ukikumbuka id yake ina brand kubwaaa comment zakee mashaaalaah threads zakee hoiii unajua kitu ndo hichii kumbe hamorapa mm kiukweli nakimbia tu[emoji100] [emoji100] [emoji100] [emoji100] [emoji100] [emoji100] [emoji100] [emoji100] [emoji100] [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Sio vizurii kuwakimbiaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…