Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,453
Mm kuna ndugu yangu alitumia acount ya rafk yake kunitongoza alikuwa bonge la mkaka enzi hizo mtoto nipo chuo mwaka wa kwanza nalipaaa chuchu konziii aiseee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hivi jakuna ambae ashawahi kutongozana na ndugu yake humu kweli!!!
Nikaingia lain sku nakutana nayee mweeeh nikajiuliza eeeeh ndugu yangu umekuja kufata nn eeeh alichonijibu niligeuzaaaa kutafuta toyooo
Kumbe alikuwa ananimezea mateee kitambooo