Wanaume wa JF wanaopendwa zaidi na warembo

Nilimsahau Don clericuzoo...list iko poaaa!!!
 
Nakazia 100%
 
Nakuunga mkono.
 
Okay, here comes sukari yao!
[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]

Acha nikaanzishe uzi wa "JF no bodies". Ambao tupo tupo tu, flying under the rader!

[emoji119] [emoji119]
@KANA mtu pekee ninaemiliki namba yake ya simu mule JF.. Sikusoma nae wala sijawahi kumcheck live ni mshkaji wa JF but ni mshkaji naemkubali na kumuelewa.

Siku zote ninakuambiaga una mshumaa tatizo unauwashiaga chini ya Meza... Demiss hawezi kuuona na kukuinclude kwenye hii noble list. You are priceless dude.

[emoji352] always!
 
Last edited:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…