Wanaume wa JF wanaopendwa zaidi na warembo

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hii keyboard inanipaisha sana[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ngabu kuna watu wanahisi umenila daaah![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]dunia hiii!!

Ingekua hata PM kwangu ushakuja sasa daah![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Natoka gym hapa ndo naiona hii!

Wewe nimekukula lini jamani? Hahahaaa walimwengu bana!

Nasingiziwagwa mengi mno hadi mwishowe nasema ngoja niyakubali tu.

Wewe hata PM sijawahi kukutumia. Na huwa sina tabia za kutumia watu PM.

Sinaga kabisa tabia za kusumbua watu. Popote pale, sisumbuagi watu mimi.

Wapuuze tu hao maana wanapata tabu sana!
 
Ariff... Ama kwa hakika nakuonea wivu kupendwa na mtoto mkali wallah
Mdomo wangu umebaki wazi aki[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hapa nilipo usingizi bado sina halafu nahisi nimebanana na watu wengi halafu siwaoni, labda mke wa mganga kanitumia wafanayakazi wao a.k.a misukule nije nizuge nao[emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Kwa mara ya kwanza katika historia ya maisha yangu nimekamata namba ya mwisho!!

Dah.... sijui nimwachie Mungu au nisamehe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…