Wanaume wa JF wanaopendwa zaidi na warembo

Wanaume wa JF wanaopendwa zaidi na warembo

Kwa mara ya kwanza katika historia ya maisha yangu nimekamata namba ya mwisho!!

Dah.... sijui nimwachie Mungu au nisamehe?
Tena alikufanyia editing baada ya Mimi kumkumbusha hukuwemo kabisaa!!!!soma mwanzo uone babu!
 
Natoka gym hapa ndo naiona hii!

Wewe nimekukula lini jamani? Hahahaaa walimwengu bana!

Nasingiziwagwa mengi mno hadi mwishowe nasema ngoja niyakubali tu.

Wewe hata PM sijawahi kukutumia. Na huwa sina tabia za kutumia watu PM.

Sinaga kabisa tabia za kusumbua watu. Popote pale, sisumbuagi watu mimi.

Wapuuze tu hao maana wanapata tabu sana!
Watu humu ni wanaishi kwa kukremu zaidi hawajui maisha halisi[emoji3][emoji3][emoji3]

Wakiona jukwaani mwacheka basi tayari umeliwaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] hata kama umewala ndo kila mtu
Achana nao wazushi hao. Mi hata sijui unafananaje!
Sio kunijui zaidi ya majukwaani hakuna hata chat za mabebisho hata hapa basi
Mlaji katuliaa anasoma comments[emoji3] dah
 
Keyboard bana, unajikuta mtu una sura kali, ngumu na ya kutisha lakini unasifiwa kwa sifa kedekede ukija kwenye tabia kwenye mazingira ya kawaida sasa ndio usiseme......[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Live long keyboard
Long live wengine sura za baba zetu
Ila tunaitwa waremboo[emoji23]
 
Kiukweli hii list ifuatayo inavutiwa zaidi na Totoz za humu:

Mshana Jr
Huyu member ni namba moja kwa kila kitu ndo maana alimuopoa mtoto mbichi mzuri mzuri wa makao makuu mwenyewe anapendaga kumuita charm deko.
Baba kijacho unapendwa sana na Warembo wa Jf hunaga makuu kabisa.

Mwifwa
Niseme nini jamani ?Hivi kuna mrembo yeyote Jf hampendi huyu kaka loooh
Kwanza ni mpole
Mkimya
Hana makuu
Ana akili napenda anavyopangua hoja
Mwifwa kaka angu wa faida nakupenda sana sjawahi kuona ukigombana na mtu yeyote hapa aiseee upo vizuri sana.


BAK
Hii id brand kubwa sana yani kifupi unapendeka kwa warembo wa Jf hata sjui uliwazaga nn kujiita bak maana jina tu linavutia.


Humble African
Swagz zako ni balaa unajiamini sana yani hata mtu akikuomba picha yako unatuma tu bila kinyongo unajiamini sana kwa sababu haufake life hongera sanaaa watu kama wewe hapa jf ni wachache sana.

hearly
Huyu member mimi huwa nahisi ni ke maaana tabia yake ya kujichanganya kwenye nyuzi za warembo imefanya kuwa kivutio zaidi kwa totoz yupo vizur sana hata kwenye udaku utamkuta anachochea tu.
Hearly mtani wangu tunagombana tunapatana uko vizuri.

Hazard fc
Mme wa pacha wangu Jolie jolie wewe najua kwa chai hujambo na kujichanganya kwa warembo hauna tofauti na Hearly unapenda kusimama na Warembo wa jf hupendi kabisa tuonewe hongera zako.

Mbabe hunter
Huyu member jaman kwa ushauri mzuri yupo vizur nisipokusifia nitakuwa nakosea sana yawezekana ikawa ni mm peke yangu tu unanivutia kwa heshima uliyonayo na ushauri unaoutoaga ila kuna mrembo mwingine alishasema kuhusu member wewe hongera kwa heshima mkuu .


Asprin
Mchepuko wa Totoz jf Hahahah
Babu usiyezeeka
Ng'ombe hazeeki maini

Demiss Mrs Jr Junior
Kuna element ya kuwa bwabwa
 
Babu ulisahaulika kabisa ila watu waliposema mbona hatumuoni Babu ndio akakupachika hapo....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Astaghafurulilah... kumbe huyu Demiss anajitafutia laana ya kuokota?

Anamsahauje babu hendisam mhenga anayedondokewa na michuchu kibao ya MMU na Jukwaa la Wakubwa?
 
(In Dully sykes voice) Mie ni legendary wa kupendwa na watoto huwezi niweka hapo. Mie natakiwa niitwe nipewe tuzo yangu tu nasio kuwa paraded hapa.
 
Back
Top Bottom