Wanaume wa JF wanaopendwa zaidi na warembo

hahaaaaa piga keleleeeeeeeeeee """ wanawake wa JF muishi Mika 800.. "" since cha mdeko ' " kwakunikumbuka "" na kuniweka kwenye hiyo list""

haya mkuje
Shunie
mahondaw
na watoto warembo wote mnaoipamba Jf
Daah nimejikuta nacheka tu,
Eti hearly ni demu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahahaaaa. Lol.

Ila mdogo wangu Demiss weye mungu anakuona ujue maana kuna watu umewaaacha ambao lol. [emoji40] [emoji40] na wasijulikanage tu maana jf itakuwa ndogo hii.

Mnajijua maana nawajua ndugu yenu, rafiki yenu na Swahiba wenu.

Heshima kwenu huko mliko.

[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…