Wanaume wa JF wanaopendwa zaidi na warembo

Ngoja na me niwe mganga labda ntaonekana list yote imejaa waganga
 
Bora hawajatajwa maana mimi nisingetajwa kama wao ambavyo hawajatajwa[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Mnh! Huu sasa ni mtihani... nilidhani nikishaoga maji ya bahari kila kitu kitakuwa leve! Sa; swaga za mtu pori zitaendana kweli na totozi za JF ambazo nasikia wote eti ni Class A+++!!
Wanasemaga wanasiasa kama sisi hatuko Romantic etii[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwao ambao ni Class A++++
 
Last edited:
Acha tupaishwe tu maana yaliyomo yakijulikana nitakosa hata like[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji125] [emoji125]
Hahahaaa. Sitaki mie loool.

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwa hii comment utanifanya nicheke kila ninatakapoiona Mwifwa. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] LOL.

Ndio uzuri wa jf huu.
 
Hahahaaa. Sitaki mie loool.

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwa hii comment utanifanya nicheke kila ninatakapoiona Mwifwa. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] LOL.

Ndio uzuri wa jf huu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila wewe huwa naenjoy sana
Kikubwa siri za serikali zisivuje tuwe wazalendo hadi dakika ya mwisho[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…