hahahahha uwiiiiJaman kama nimeshindwa kutokeza kwenye top 10 yanaopendwa basi wadada mkiandaa ile ya wanaochukiwa japo msinisahau jaman. Hakuna kitu kinachouma kama kukosa sifa yoyote maishani[emoji27][emoji27][emoji28][emoji28]
Edit basi na zawad nono kikojozo cha mshana[emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa kuna siku ntakumiliki mark my word Mshana JrHuna nyota baba samehe karibu msata kilingeni
Hahaha, za jioniHallo?
Safi sana,komaakabisa mkuu
Hakuna mwakilishi hata mmoja toa jukwaa pendwa hahahahahaMbona hamtutaji sisi wazee walilee jukwaa letu pendwa la wakubwa... huu ni ubaguzi uliotukuka
Orodha ingekuwa kuleeee lazima ungekuwemo mkuuu hahahahahaKulalek
Au wote ni "ke" tuUbaya wa Jf ni kwamba hizo zote zilizotajwa zinaweza kuwa ID za mtu mmoja but different personalities...natania wakuu
Teh teh teh,Dah!! Kumbe huku kuendekeza mada za kisiasa ndo kunafanya tuonekane hatuna swaga!!!
Lakini kwa mbaaaaaali; kama kuna kaukweli flani hivi manake ukitoa "hi" kwa totozi; akili yake yote anaipeleka kwa Humphrey Polepole... !
Ni yule yule JK JrSalama rudisha avatar