Ngoja nikaijibu Pm yako,lakini plz usiwaambie girls wengine nitakachojibu!Hahahhaha hata mm nipo pm kwako
Si kwenye hiyo list yako sijioni[emoji16]Kwann?
Haahaha!!! Kweli kabisa mzee, manake haiwezekani; narudia, haiwezekani!Amen mazeee, Amen.
Dogo Mwifwa fanya mambo sisi tutakulipa
Kama ndo hivyo, basi Daby nishamshitukia! Sometimes huwa anaanzisha free style battle kule entertainment forum, kumbe inawezekana ni janja yake ya kupata mistari ya kuleta kwa warembo!!! Nishaamua, hivi sasa nikiingia kwenye battle, ni mwendo wa political conscious lyrics, mwanzo mwisho!Dogo fundi sana huyu, yuko na mwenzake moja hivi anaitwa Daby
Nausubiri usingizi ufanye yake hapa..Mwifwa hulali wewe! Maswali yenyewe ni yepi?
Bila shaka unaniambia na mimi nianze kukaa karibu na warembo....Kipindi nipo darasa la nne shule ya msingi, aliletwa Mwl wa kike kutoka Arusha mjini kuja kufundisha shuleni kwetu.
Kutokana na sisi kuzoea maisha ya kijijini na kutokuwa na tabia ya kujichanganya wavulana kwa wasichana hasa tukiwa darasani.
Yeye alianzisha mtindo wa kutuchanganya kukaa pamoja tukiwa darasani wale wenye juhudi na akili kwenye masomo na wale wenye juhudi za kawaida.
Lakini sisi(hasa wavulana) tulikuwa tunachukia sana kuchanganywa/kukaa dawati moja na wasichana hadi baadhi ya wavulana walikuwa wanachapwa sana kwa kukataa kukaa pamoja na wasichana.
Ila kadri siku zilivyokuwa zinaenda, mambo yakaanza kuwa murua, tukazoeana ikawa ni kawaida na rahisi kusaidiana kwenye masomo baina yetu.
Kwa kitendo hicho cha Mwl wetu bado nina maswali kadhaa kichwani sijaweza kupata majibu yake hadi leo hii....
Naona umeiona rula...[emoji23] [emoji23] [emoji23]Bila shaka unaniambia na mimi nianze kukaa karibu na warembo....
Dah! Sometimes sema na wewe unacheka vizuri hadi mtu unahisi damu yako mwenyewe ikiwa ya joto! Sema tatizo Mshana Jr bhana, dah... mtu unaweza kujikuta miezi 3 mfululizo unaota umelala na maiti ya Babu Kangi!!!Hahahahah hachelewi huyo
Halafu bado anataka totoz classic!!Babu ana teziii
Anhaa nililala kidogo habari za asubuhi?Tupoooo