Wanaume wa JF wanaopendwa zaidi na warembo

Wanaume wa JF wanaopendwa zaidi na warembo

Dogo fundi sana huyu, yuko na mwenzake moja hivi anaitwa Daby
Kama ndo hivyo, basi Daby nishamshitukia! Sometimes huwa anaanzisha free style battle kule entertainment forum, kumbe inawezekana ni janja yake ya kupata mistari ya kuleta kwa warembo!!! Nishaamua, hivi sasa nikiingia kwenye battle, ni mwendo wa political conscious lyrics, mwanzo mwisho!
 
Kipindi nipo darasa la nne shule ya msingi, aliletwa Mwl wa kike kutoka Arusha mjini kuja kufundisha shuleni kwetu.

Kutokana na sisi kuzoea maisha ya kijijini na kutokuwa na tabia ya kujichanganya wavulana kwa wasichana hasa tukiwa darasani.

Yeye alianzisha mtindo wa kutuchanganya kukaa pamoja tukiwa darasani wale wenye juhudi na akili kwenye masomo na wale wenye juhudi za kawaida.

Lakini sisi(hasa wavulana) tulikuwa tunachukia sana kuchanganywa/kukaa dawati moja na wasichana hadi baadhi ya wavulana walikuwa wanachapwa sana kwa kukataa kukaa pamoja na wasichana.

Ila kadri siku zilivyokuwa zinaenda, mambo yakaanza kuwa murua, tukazoeana ikawa ni kawaida na rahisi kusaidiana kwenye masomo baina yetu.

Kwa kitendo hicho cha Mwl wetu bado nina maswali kadhaa kichwani sijaweza kupata majibu yake hadi leo hii....
Bila shaka unaniambia na mimi nianze kukaa karibu na warembo....
 
Dah. So sie ambao atupo kwenye io rist ndo hatupendwi?

Na nikuulize dada demiss hao ulowataja ni ww ndo unawapenda au wadada wote wa jf wanawapenda? Umejuaje kama toroz zngne nazo zna taste kama yako kwa oa ulowataja plus sifa ulizoweka
.
.
Ramli chonganiashi izi,mrs mshana
 
Back
Top Bottom