[emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]hahaa Nyani Ngabu " kesha toa angalizo " kuwa karibia "nusu "na robo ya " madada wa humu " amewala '" so nipo kitako namsubiri" shemeji yako'' anieleze kwa herufi kubwa" asinifiche " aisee"" kama vipi " kesho nipitie hospital" nikaanze sindano" za PEP "" sidhani kama nitkuwa nimechelewa sana aisee"" Nyani Ngabu ndio nini kutaka kutuuwa kwa pressure mkuu ""?
Nimeona nipite tu kimya kimya nisije nikachafua uzi!!!Nini tenaaa?
Haaa haaa [emoji42] [emoji42] [emoji42] [emoji42] babu siri isha anza kutoka nje sasa [emoji28] [emoji28] [emoji28] mie nilijua uzee dawa duu kumbeKwanini unapenda kutoa siri zangu? Kwani ungekaa kimya ungepoteza nini? Poa tu lakini... ntapata mwingine
Hauogopi kupigwa babu au upo vizuri? Na mbio nazo je ! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nilishakipata. Ngoja nitafute mwingine. Hata kama nilichovya lakini angalau nilidokoa chakula chako
Babu umemfanyia nini [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] naona watoa siri [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] angalia usimponze akapigwa kipapai[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Haaa Demiss babu atatembea kweli maweee[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Muongezee busha tendegu
Mie nipo wa afya tele maaa , mzima wewe!Ila nimekumiss sana atiiii
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Babu saivi ameishiwa nguvu mkuyenge ukisimama haupo strong
Asante, kumbe upo karibu hapa nilipita juzi juzi tu hapa, ningejua tungesalimiana atiMzmaa nipo Msata kwa shemej karibu
Kumbe hata wewe hunipendi?Haaaahaaaa nimecheka kwa sauti jamani [emoji2]
Jamani jamani jamani...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Babu kachoka kila kitu jamani hakutumia ujana wake vizuri nini!
Kwenye mbio nina nyota ya marathonHauogopi kupigwa babu au upo vizuri? Na mbio nazo je ! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
MumeNipo siti ya ngapi hapa....