Wanaume wa JF wanaopendwa zaidi na warembo

Wanaume wa JF wanaopendwa zaidi na warembo

hahaa Nyani Ngabu " kesha toa angalizo " kuwa karibia "nusu "na robo ya " madada wa humu " amewala '" so nipo kitako namsubiri" shemeji yako'' anieleze kwa herufi kubwa" asinifiche " aisee"" kama vipi " kesho nipitie hospital" nikaanze sindano" za PEP "" sidhani kama nitkuwa nimechelewa sana aisee"" Nyani Ngabu ndio nini kutaka kutuuwa kwa pressure mkuu ""?
[emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]
 
Kwanini unapenda kutoa siri zangu? Kwani ungekaa kimya ungepoteza nini? Poa tu lakini... ntapata mwingine
Haaa haaa [emoji42] [emoji42] [emoji42] [emoji42] babu siri isha anza kutoka nje sasa [emoji28] [emoji28] [emoji28] mie nilijua uzee dawa duu kumbe
 
Babu umemfanyia nini [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] naona watoa siri [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] angalia usimponze akapigwa kipapai
Babu saivi ameishiwa nguvu mkuyenge ukisimama haupo strong
 
Babu saivi ameishiwa nguvu mkuyenge ukisimama haupo strong
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Babu kachoka kila kitu jamani hakutumia ujana wake vizuri nini!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Babu kachoka kila kitu jamani hakutumia ujana wake vizuri nini!
Jamani jamani jamani...
 
Back
Top Bottom