Wanaume wa JF: Who is hot, who is not?

Mtu mwenyewe anaringaaaaa kama nini!
Mara Erotica, Mara sijui kina nani tena...
Ngoja mi nijiendee dinner na The Finest
I feel like he is more interested in me. 🙂

Yeahhh. . .mwenyewe niliona hivyo nikanawa mikono. Fynest is a true gentleman. . he won't let you down.
 
Last edited by a moderator:
Mtu mwenyewe anaringaaaaa kama nini!
Mara Erotica, Mara sijui kina nani tena...
Ngoja mi nijiendee dinner na The Finest
I feel like he is more interested in me. 🙂
You can say that again and again I hope I want face any obstacles
 
Last edited by a moderator:
Kule kwa funza dume hakukufai utapofuia masikio,
mie nakufagilia sana Mr Rocky.......your my star loh.... sema nilikuwa nakimbizana na chaji,
bila kumsahau MziziMkavu, tiba mbadala anayotoa ni ya uhakika loh.....



Badili Tabia haki ya nani naenda kujinyonga kwa big g
List yote mi simo
Ahhh ngoja nihamie kabisa jukwaa la Funza dume maana huku sina changu[/QUOTE]
 
Last edited by a moderator:
Yeahhh. . .mwenyewe niliona hivyo nikanawa mikono. Fynest is a true gentleman. . he won't let you down.

Khaa! Haya mshiki Lizzy ukifanikisha kwa huyo mkware The Finest usisahau kunipigia debe na mimi kakako mpendwa tuliyetoka mbali. Mpaka sasa mi ndo naongoza kwa kupigwa vibuti. Hii si nzuri kwenye ukoo wetu. Tutazaa majambazi tusiposaidiana kwenye hii ishu nyeti ya kibaiolojia.
 
Last edited by a moderator:
[/quote]@badili tabia Asante ubarikiwe mbinguni na duniani kwa jina la Bwana Mungu.:smile-big:
 
Bishanga, kidumu changu cha ukweli.....hakiishi hamu wala utamu.......loh....

Khaa!

Am outta here!

Ngoja niangalie upepo upande wa pili. Hapa kimeshaumana. Huyu akipelekwa gulioni katerero kununuliwa matoke ODM atakumbukwa wapi na vibamia vyake vya bagamoyo vilivyokosa samadi ya kuku?

Ukaguzi Cancelled!
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha. . Asprin unataka niwe 'mwanamke kuwadi' aliyekubuhu ehhh? Sijui The Finest atasemaje!!!
 
Last edited by a moderator:
Asprin my honey ......kule nilikuwa natania tu loh


Khaa!

Am outta here!

Ngoja niangalie upepo upande wa pili. Hapa kimeshaumana. Huyu akipelekwa gulioni katerero kununuliwa matoke ODM atakumbukwa wapi na vibamia vyake vya bagamoyo vilivyokosa samadi ya kuku?

Ukaguzi Cancelled!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…