Ndo sasa uniambie. . .do you like girls aswell!?!!!
Hehehe sitaki kusutwa mie. ,ngoja aje mwenyewe. Alafu kuna mwingine hapo nae inabidi umfute fasta. . .ukifantasaizi kuhusu yeye tena unapata mimba!!
The Finest, huyu barafu wa moyo wangu.....
Asprin, tulizo la moyo wangu
Bishanga, kidumu chang kitarajiwa
TANMO, jina lake lipo sexy
klorokwini, ananiachaga hoi....
Mtambuzi..... Sisemi kitu kuna binti zake humu....
gamba chovu
Mphamvu
The Boss......
EMT
Memo
Invisible bby boy...
Buchanan
Erickb52
Mbu
Saint Ivuga
Smiling Saint
nitarudi simu imeishiwa chaji
Bora usiseme kitu maana wataniletea nouma................watoto hawa utadhani wamezaliwa siku ya GULIO......!@The Finest, huyu barafu wa moyo wangu.....
Asprin, tulizo la moyo wangu
Bishanga, kidumu chang kitarajiwa
TANMO, jina lake lipo sexy
klorokwini, ananiachaga hoi....
Mtambuzi..... Sisemi kitu kuna binti zake humu....
gamba chovu
Mphamvu
The Boss......
EMT
Memo
Invisible bby boy...
Buchanan
Erickb52
Mbu
Saint Ivuga
Smiling Saint
nitarudi simu imeishiwa chaji
Senksi BADILI TABIA , mi mwenyewe kila nikiona post zako namsahau waifu. Juzi tu nilikuota unanilisha samaki wa kukaanga
Bora usiseme kitu maana wataniletea nouma................watoto hawa utadhani wamezaliwa siku ya GULIO......!@
Hii post lazima Invisible ataona wivu tu.leo niote nakulisha kuku wa kupaka....loh
Hii post lazima Invisible ataona wivu tu.
Walaaaa, thread poa tu kwa kuondolea stress ha ha ha, lkn kama avatar zilivyo ndivyo mlivyo basi RussianRoulette & Lizzy mko hot 😉Vipi mkuu Invisible, ifungwe? Au na mimi nitaje kwanza? lol.
Hao jamaa zako kwenye avatar hawachoki kupiga makofi?
Amesema hana wivu, hebu nitupie kapost kengine tumchekinahofia asijinyonge kwa big-g tu....
The Finest, huyu barafu wa moyo wangu.....
Asprin, tulizo la moyo wangu
Bishanga, kidumu chang kitarajiwa
TANMO, jina lake lipo sexy
klorokwini, ananiachaga hoi....
Mtambuzi..... Sisemi kitu kuna binti zake humu....
gamba chovu
Mphamvu
The Boss......
EMT
Memo
Invisible bby boy...
Buchanan
Erickb52
Mbu
Saint Ivuga
Smiling Saint
nitarudi simu imeishiwa chaji
Alafu we Konnie siku hizi sijui umekuwaje. . .au ndio uwifi umekufa?
Deskmate, are you hot?Amesema hana wivu, hebu nitupie kapost kengine tumcheki
Mh... Hii thread hii....
:shock:
Erotica wewe ni mkorofi... Lizzy, unaonaje tumchukulie hatua?
Mi kwangu pia nadhani lazima Boflo is hot. Sijui mwasemaje hapa?
Invisible lazima awe kwenye list, he is such a mysterious member. lol
Zaidi ya hao ongezeni Saint Ivuga, he's is hot (smoking hot) lolest
Hapa kijijini wananiita lonado di caprio. Ukiniona tu basi unaomba talaka kwa mumeoDeskmate, are you hot?