Wanaume wa JF: Who is hot, who is not?

Wanaume wa JF: Who is hot, who is not?

Ndo sasa uniambie. . .do you like girls aswell!?!!!

Hehehe sitaki kusutwa mie. ,ngoja aje mwenyewe. Alafu kuna mwingine hapo nae inabidi umfute fasta. . .ukifantasaizi kuhusu yeye tena unapata mimba!!

Khaa we mtoto umechizika! ukimfantasize mtu tu kitu!
 
The Finest, huyu barafu wa moyo wangu.....
Asprin, tulizo la moyo wangu
Bishanga, kidumu chang kitarajiwa
TANMO, jina lake lipo sexy
klorokwini, ananiachaga hoi....
Mtambuzi..... Sisemi kitu kuna binti zake humu....
gamba chovu
Mphamvu
The Boss......
EMT
Memo
Invisible bby boy...
Buchanan
Erickb52
Mbu
Saint Ivuga
Smiling Saint

nitarudi simu imeishiwa chaji

Senksi BADILI TABIA , mi mwenyewe kila nikiona post zako namsahau waifu. Juzi tu nilikuota unanilisha samaki wa kukaanga
 
Last edited by a moderator:
The Finest, huyu barafu wa moyo wangu.....
Asprin, tulizo la moyo wangu
Bishanga, kidumu chang kitarajiwa
TANMO, jina lake lipo sexy
klorokwini, ananiachaga hoi....
Mtambuzi..... Sisemi kitu kuna binti zake humu....
gamba
chovu
Mphamvu
The Boss......
EMT
Memo
Invisible bby boy...
Buchanan
Erickb52
Mbu
Saint Ivuga
Smiling Saint

nitarudi simu imeishiwa chaji
Bora usiseme kitu maana wataniletea nouma................watoto hawa utadhani wamezaliwa siku ya GULIO......!@
 
Sasa we unamdanganyaje mzee mwenzio?!Unadhani hajui mapigo yenu ehhh?


Yeahh we all know that Cookie
Unajisikiaje kuhusu kuwa kwenye list ya Erotica.

Unatumia utaalamu/vigezo gani kujua jinsia ya mtu hapa JF? Lizzy

Dah mkuu kumbe tuna wataalamu wa namna hii hapa JF Invisible
 
Last edited by a moderator:
Riwa
trachomatist. . . Sijui spelling nimepatia?
Halafu kuna kidume kimoja nakikubali,anajiita jina ambalo ni ugonjwa unaoenezwa sana na konokono,spelling sizipati vyema MENings?
 
Last edited by a moderator:
Hao jamaa zako kwenye avatar hawachoki kupiga makofi?

hahaha mkuu unataka kuwapiga Ban nini wapumzike? lol
Hao wanafurahia uchumba wangu na Lizzy , andaa mchango wa harusi mkuu, soon tunakuletea kadi
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Erotica wewe ni mkorofi... Lizzy, unaonaje tumchukulie hatua?
Mi kwangu pia nadhani lazima Boflo is hot. Sijui mwasemaje hapa?
Invisible lazima awe kwenye list, he is such a mysterious member. lol
Zaidi ya hao ongezeni Saint Ivuga, he's is hot (smoking hot) lolest

Mwali tupange mikakati aisee. . Erotica hawezi vamia vamia tu ghafla wakati wengine tunaumia ndani ndani!!

Hahahaha. . . Boflo aisee mi sijui. Ila hao wengine. . .AGREED.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom