Wanaume wa Kanda ya Ziwa mmeshtuka nini hadi nyie ndiyo mnaongoza kwa Kupima DNA Tanzania nzima?

Wanaume wa Kanda ya Ziwa mmeshtuka nini hadi nyie ndiyo mnaongoza kwa Kupima DNA Tanzania nzima?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ndugu yenu GENTAMYCINE (kutoka Mkoani Mara) nawashaurini Vumilieni tu Kuchapiwa Wake zenu na Kulea Mimba za Wanaume Wenzenu na Watoto watakaozaliwa ni Jambo la Kawaida mno.

Na nasikia baadhi yenu kama mkigundua (baada ya kupima DNA) kuwa Watoto siyo Wenu (Mmechapiwa) kwa Hasira wakiwa bado ni Wachanga mnawaua na wakiwa ni Wakubwa wa Kiume mnawafukuza Makwenu na wakiwa ni wa Kike halafu ni Wakubwa, Warembo (Wameumbika hasa) huwa mnaamua Kuwabandua / Kulala nao kama sehemu ya Kupoza Jazba zenu.
 
Wee niite tu zombieee[emoji23][emoji23]
FB_IMG_1689440723415.jpg
 
Back
Top Bottom