Wanaume wa kaskazini waangaliwe upya wananyanyaswa sana na wanawake zao hakika

Wanaume wa kaskazini waangaliwe upya wananyanyaswa sana na wanawake zao hakika

Ndugu kwa masikitiko makubwa naandika


Sijui wanawake wa kaskazini wanaume zao waliwakosea nini, kiasi cha wanawake kuwapeleka mbio mbio na kuwanyanyasa wanaume zao

Wana mfumo dume uliobakia midomoni mwao ila ndani mfumo jike ndiyo unaotawala hakika na waambieni, wanawake wanawanyanyasa sana hawa wanaume wa huku

Ni wakaidi ukiwaona, wababe , wenye misimamo mikali na miili iliyo jaa na kutuna misuli kwa mbali ila ukweli usiopingika wananyanyaswa sana na wanawake zao siyo kwenye uchumba au ndoa wananyanyaswa kila sector mfano hakuna. Wanawake zao ni wababe, wanaume wa kasakazini wanapigwa kabali, ngumi , kuchomwa kisu ni jambo la kawaida sana na hawana pakusemea hakika wanagugumia mioyoni mwao

Wanaume wa kaskazini wanapigwa na wake zao huko ndani, hawana amani ya moyo na asilimia kubwa wana magonjwa ya presha na mishtuko ya hapa na pale wakisikia sauti za wake zao.

Wanaume wa kaskazini wanasonona kali inayowapelekea kuvuta bangi na kutumia pombe kali sana baada ya kunyanyaswa na wanawake zao kimapenzi huko ndani, wanapelekeshwa na kupelekwa mchaka mchaka na wanawake zao pasi na kuonewa huruma yeyote ile

Wanaume wengi wa kaskazini wengi wameburuzwa kibabe sana lockup na wake zao, mademu zao na wachumba zao pasi na sababu za msingi, wanahudhuria kesi na mashitaka wanayoshitakiwa na wake zao yasiyo na kichwa wala miguu, utawakuta serikali za mitaa wakishitakiwa , utawakuta kwenye mabaraza ya wazee wakishutumiwa na wengine utawakuta sero wametupwa huko na wake zao, huku wanawake zao kuingia mitini

Utawakuta wanafanya kazi kwa bidii sa a ila wananyang'anywa hela wafikapo ndani, wanawake wa kaskazini wanadiliki kuwasachi waume zao na kuchukua vyote jamaa alivyo vitafuta, mwanume hawapikiwi chakula wanaishi kula mighahawani na wengi wao wanachoteshwa maji huko mabombani na wake zao, wanajifulia wenyewe na kufata watoto shule tena kwa amri za wake zao na ole wao wasifanye hivyo watajaziwa inzi

Hawasikilizwi na wake zao kabisa na wakilazimisha kusikilizwa kukimbizwa na panga, kushikiwa beto, kutishiwa kuuwawa ni jambo la kawaida mno, wanaume wa kaskazini wananyanyasika mno na hakuna wa kuwasaidia

Haki sawa imeshamiri dhidi ya wanawake zao, wanawake kudanga , kutoka bila ruhusa ya mume na kumjia usiku ni jambo la kawaida , wanawake kuwatelekezea wanaume watoto ni fasion hata kuzivunja ndoa huku kaskazini ili mali igawanywe ni fasion kwao, wanaume wa huku hawana wa kuwasaidia wanapelekwa mbiombio na wake zao


Ndugu hawa wanaume wa kaskazini wanahitaji uangalizi wa karibu sana, wanahitaji kusaidiwa kisaikolojia, wanahitaji kufarijiwa na kuombewa hakika maana wanateswa sana na wake zao kiasi cha wao kuamua kuishia vijiweni kwenye bangi na matumizi ya pombe kali
Tutoe wameru labda wachaga.
 
Sasa huyo ukilala nae mwili unanuka kama pipa la pombe[emoji16].Hata kula mate lazima uwe na moyo maana mchanganyo wa vilevi .Nasikia wanaume wa huko nao wameharibika na pombe kali hata kuwapa huduma za usiku wake zao imekua shida.
mimi ni mzaliwa wa huku na ninaishi huku, ila sisi wachaga kwa pombe ni pipa na mfuniko.
hayo yanayosemwa kuhusu wanaume wa huku wameharibikiwa na pombe kali na kushindwa kutimiza majukumu ya unyubma sina hakika nayo.

ila huku kukuta mtu anakunywa pombe asubuhi ni jambo la kawaida
 
Hapo tengeru nimezunguka wanawake wa huko ni washari sana wanapiga vitasa mno japo kwa nje wana utii wa kujificha, nilishuhudia wanaume kadhaa wakifumuliwa na wanawake zao live mpaka wanakimbia wenyewe. Imagine mwanaume anapigwa na mke wake anakimbia nyumba,

Bila shaka wale wanawake walikua ni wameru
haha dada zetu wa kimeru wanawezana na sisi wanaume wa kimeru au wakurya basi
 
Ulinusurika kwa sababu ya upuuzi wa mwanamke?

Leo pia unaishi na mwanamke akikuletea upuuzi unamtwanga mangumi 😂😂

Sema mahakama za Tanzania mahakimu wana njaa hadi huuza kesi Ila huyo mwanamke utakayemtwanga mangumi akikupania kisheria utamlimpa fidia na jela utaenda.

Acha mashindano na hao viumbe wapotezee tu na si kuwatwanga mangumi
Aaah weeeh over my dead body.
Toka ninusurike suicide attempt 2021 kisa upuuzi wa mwanamke.
 
Ulinusurika kwa sababu ya upuuzi wa mwanamke?

Leo pia unaishi na mwanamke akikuletea upuuzi unamtwanga mangumi 😂😂

Sema mahakama za Tanzania mahakimu wana njaa hadi huuza kesi Ila huyo mwanamke utakayemtwanga mangumi akikupania kisheria utamlimpa fidia na jela utaenda.

Acha mashindano na hao viumbe wapotezee tu na si kuwatwanga mangumi
😂😂😂😂 🙏🙏🙌🙌🙌 Nimekuelewa mkuu.
Ila sio mashindano bali twalinda heshima,au unataka tulie kama wanaume wa Rombo!?
 
Wanawake wa kaskazini mie big NO nitaua mtu bure. Yani aniletee kibezi nimuangalie tu??? Sio mimi aisee wakae mbali nami uzuri wake nikishasikiaga ni wa kaskazini nakula nasepa nakaa kimkakati kabisa ili nisilowee. Hawana maana.
 
Back
Top Bottom