Kweli kabisa, wakurya mpo juu kwa mahaba halafu sio wabahili. Piga kelele kwa wakurya wetu Weuweeeeeeeee!!Kwa wale wadada waliowahi au wenye wapenzi wakurya watakubaliana na mimi juu ya hili ila tunataka mwanamke awe mwaminifu tu asiwe konakona au mduara utakula mema ya nchi.
Naombeni mfute ile dhana ya kuwa wakurya tunapiga wanawake, hayo yalikuwa zamani.
gachuma karibu nyamongo
😁😁😁😁 zamani mno.Heeee, kumbe lithread lishaexpaya. Habari za siku lakini mdada?
Itakuwa kuna mkurya wangu nimemkumbuka.... Hahahaha, Ngoja nikanawe mikono kwanza😁😁😁😁 zamani mno.
Fresh kabisa, tunajificha Corona tu. Kwako?
Ni kweli kabisa wakurya wanajua kupenda na kujali mwanamke
Hahahaha usitufanyie hivyo mkuuNawashauri wadada kama wewe sio mkurya usiolewa na haya majamaa hata kama ni mlokole haya majamaa ni primitives sana
Hapo utakuwa umemrahisishia shemeji yako kazi ya kumjeruhi dada yako. Mwanaume anakula ugali sinia zima dada ako ataweza kumuweka chini ya ulinzi?Mimi siku dada yangu akiolewa na mkurya nitampa zawadi ya k-47,shoka,panga,manati,mkuki,kisu,kiwembe maana huko anakokwenda ni zaidi ya darfur.
Yaelekea ulijichanganya kwa mkurya,akakupiga mitama.Nawashauri wadada kama wewe sio mkurya usiolewa na haya majamaa hata kama ni mlokole haya majamaa ni primitives sana
Ulishawahi pigwa pumb.u na mkurya akakuacha nini?Nawashauri wadada kama wewe sio mkurya usiolewa na haya majamaa hata kama ni mlokole haya majamaa ni primitives sana