Wanaume wa Kikurya tunajua kupenda

Wanaume wa Kikurya tunajua kupenda

Kwa wale wadada waliowahi au wenye wapenzi wakurya watakubaliana na mimi juu ya hili ila tunataka mwanamke awe mwaminifu tu asiwe konakona au mduara utakula mema ya nchi.

Naombeni mfute ile dhana ya kuwa wakurya tunapiga wanawake, hayo yalikuwa zamani.
Kweli kabisa, wakurya mpo juu kwa mahaba halafu sio wabahili. Piga kelele kwa wakurya wetu Weuweeeeeeeee!!
 
Nawashauri wadada kama wewe sio mkurya usiolewa na haya majamaa hata kama ni mlokole haya majamaa ni primitives sana
 
Mimi siku dada yangu akiolewa na mkurya nitampa zawadi ya k-47,shoka,panga,manati,mkuki,kisu,kiwembe maana huko anakokwenda ni zaidi ya darfur.
Hapo utakuwa umemrahisishia shemeji yako kazi ya kumjeruhi dada yako. Mwanaume anakula ugali sinia zima dada ako ataweza kumuweka chini ya ulinzi?
 
Nawashauri wadada kama wewe sio mkurya usiolewa na haya majamaa hata kama ni mlokole haya majamaa ni primitives sana
Yaelekea ulijichanganya kwa mkurya,akakupiga mitama.
 
Wakurya juuuuuuuuuu[emoji832][emoji832][emoji832][emoji832][emoji106]
Masuruali mengi tu
 
Nawashauri wadada kama wewe sio mkurya usiolewa na haya majamaa hata kama ni mlokole haya majamaa ni primitives sana
Ulishawahi pigwa pumb.u na mkurya akakuacha nini?
 
Back
Top Bottom