Wanaume wa Kikurya tunajua kupenda

Wanaume wa Kikurya tunajua kupenda

Katika kumi wenye sifa unazoziongea ni 2 au mmoja. Binafsi nimeolewa na Mkurya ni shida tupu. Nimeona wengi walioolewa na wakurya shida walizo nazo. Wakurya wa kijijini wanawapa wake zao mashamba tu, lima watoto wale na yeye ale vizuri, zaidi ya hapo utamsikia kwa mke mwenziyo. Ni wasumbufu kuliko maelezo, muda wote wanajiona wana haki. Kwa ujumla hata watoto wangu siwashauri kuolewa na wakurya.
 
Katika kumi wenye sifa unazoziongea ni 2 au mmoja. Binafsi nimeolewa na Mkurya ni shida tupu. Nimeona wengi walioolewa na wakurya shida walizo nazo. Wakurya wa kijijini wanawapa wake zao mashamba tu, lima watoto wale na yeye ale vizuri, zaidi ya hapo utamsikia kwa mke mwenziyo. Ni wasumbufu kuliko maelezo, muda wote wanajiona wana haki. Kwa ujumla hata watoto wangu siwashauri kuolewa na wakurya.
mh!pole dada angu!!
 
Nafasi zipo wazi piemu mkurya yeyote aje nimevutika mzima mzima jaman!mtima wangu uwazi niko tayari kuitwa mama chacha,Marwa,Mwita etc.

Nilikua napita tu hapa ila hii comment yako imenitibua sana. Why unanifanyia hivi we mtoto wakitanga?
 
wakurya deep love tunaijua..! mambo ya kupiga wanawake nowadays hayapo!

endapo mdada atakuwa mtulivu kama mleta uzi alivyosema, hakika utam wa penzi la kikurya utaupata...

mkurya si mtu wa porojo, si mtu wa kubishana hovyo na sweetie wake..

hizi ni criteria muhimu zinazotuweka kwenye kundi maalum la supply of sweet love!! unendless love..

Exactly! You nailed it.
 
Nilikua napita tu hapa ila hii comment yako imenitibua sana. Why unanifanyia hivi we mtoto wakitanga?
ha!ha!haa dia unamijicho na wewe hupitwi usijali nakuja piemu tuongee vizuri punguza hasira jamani.
 
wakurya deep love tunaijua..! mambo ya kupiga wanawake nowadays hayapo!

endapo mdada atakuwa mtulivu kama mleta uzi alivyosema, hakika utam wa penzi la kikurya utaupata...

mkurya si mtu wa porojo, si mtu wa kubishana hovyo na sweetie wake..

hizi ni criteria muhimu zinazotuweka kwenye kundi maalum la supply of sweet love!! unendless love..

Mkuu kumbe naww n mura! haha haha was there last yeah mambo ya nyumba ntobo yanahusika.
 
Hawa si ndo wale wanaocharangana mapanga kule tarime kila siku au?
 
lizzy come on! dont say those words pliz! do you know how much i prepared myself and my complete lovely heart fo it?

aisee utaniua... wakurya wa leo sio kama wale wa '47! trust me, just a single drop of water in my bucket, you will come up with four drums of wine... Lizzy take that...

mkurya akimuoa mswahili hana tatizo naye---mwanamke atainjoy maisha mpaka basi. tatizo hata wanawake wa kikuria nao ni 'mungiki'--bila kichapo hawawezekani. mara nyingi ndio wana-provoke waume zao (kwa lengo la kuwapima ujasiri) na kuishia kupewa kichapo kikali sana. pia hata mwanamke wa kikuria akiolewa na mwamaume mpole humtesa sana huyo mwanaume. usiombe ukaoa mwanamke wa kikuria ukawa mnyonge kwake--cha moto utakiona!!
 
Last edited by a moderator:
mkurya akimuoa mswahili hana tatizo naye---mwanamke atainjoy maisha mpaka basi. tatizo hata wanawake wa kikuria nao ni 'mungiki'--bila kichapo hawawezekani. mara nyingi ndio wana-provoke waume zao (kwa lengo la kuwapima ujasiri) na kuishia kupewa kichapo kikali sana. pia hata mwanamke wa kikuria akiolewa na mwamaume mpole humtesa sana huyo mwanaume. usiombe ukaoa mwanamke wa kikuria ukawa mnyonge kwake--cha moto utakiona!!

kwa hiyo unasemaje sasa?
 
wakurya deep love tunaijua..! mambo ya kupiga wanawake nowadays hayapo!

endapo mdada atakuwa mtulivu kama mleta uzi alivyosema, hakika utam wa penzi la kikurya utaupata...

mkurya si mtu wa porojo, si mtu wa kubishana hovyo na sweetie wake..

hizi ni criteria muhimu zinazotuweka kwenye kundi maalum la supply of sweet love!! unendless love..

jaman mkurya haachi asil yake they are very crue me mkurya bt cwez kumshauri rafiki yangu awe na mwanaume wa kikurya.
 
wakurya wanajua kupenda lakn ukileta ukorofi kidogo wanakuwa mbogo..akuh ctak mkurya mimi!..
 
Back
Top Bottom