Acha ujuaji huo ndo ukwl mpk ss wapo hvohili ni kama tusi kwa jamii ya kimasai.u r totaly wrong..na ninawasiwasi kama umeichunguza vyema hii jamii ya kimasai..labda umesikia hadithi tu..kutoka kwa watu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ujuaji huo ndo ukwl mpk ss wapo hvohili ni kama tusi kwa jamii ya kimasai.u r totaly wrong..na ninawasiwasi kama umeichunguza vyema hii jamii ya kimasai..labda umesikia hadithi tu..kutoka kwa watu..
JG where you at??? You've been missed sana, sana, sana!!!!Tafsiri isiyosahihi juu ya wanaume na uanaume hasa kwa hizi tabia za "kisasa"!!
Dah. . . kumbe waMassai nao wanajua kuFLIRT ehhhh?Hehehe. . nilidhani hayo ni mambo ya watu wa mujini tu.
Lizzy bana. Halafu nikuone unalalama zikianza kumiminika threads za wanawake wa kichaga.
Masai inadumisha mila, ile wengine imekwishashindwa. Tamaduni nyenye nguvu iliyobakia Afrika
Kweli Darisalama watoto imeshakwisha. Watoto inajirusharusha mwisho itabakia kuanguka.
Mi masai bana, ni kitu najuvunia fahari yangu
Nakaribisha akina lizzy kunishangaa.
[video=youtube_share;ZLtuxYaKko0]
Dr nitumie tena ile PM 😆😆Kwanza usiendelee kuniudhi kuna pm yangu ina wiki kujibu ujaijibu au kuna flood of pm kwenye inbox yako?
Dr Restart niseme tu umenifurahisha sana kwa namna ulivyofunga hoja yako!!😁😁Viroba ni sehemu ya kujiburudisha. Baada ya majukumu ya siku.
Pole ndg masaihili ni kama tusi kwa jamii ya kimasai.u r totaly wrong..na ninawasiwasi kama umeichunguza vyema hii jamii ya kimasai..labda umesikia hadithi tu..kutoka kwa watu..
Madam,Dr Restart niseme tu umenifurahisha sana kwa namna ulivyofunga hoja yako!!😁😁
Ilikuwa inaokoa vipi Madam?Ndio hivyo hivyo...😀
Vilikua vinaokoa wengi!!!
Unitag tafadhali.Ngoja nitafute mnywaji alete ushuhuda....🤓
Bado mtoto mbichi kabisa wewe 😁😊☺️
Ilikua kabla sijazeeka akili zikapungua.🙈
Dr Lizzy ile Pm ni miaka 13 sasa imepita kabla hata hujapata degree ya kwanza kwa mabeberu, lakini intention yangu iko palepale, nadhani sasa ndio wakati muhafaka tutakwenda sehemu kufanya research pamoja, tutaelewana tu kikubwa.😜😜Dr nitumie tena ile PM 😆😆
Dr Matola PhD
Wow!!☺️ Kama intention haijabadilika miaka yote hii basi una hoja, unapaswa usikilizwe.🤓🤓Dr Lizzy ile Pm ni miaka 13 sasa imepita kabla hata hujapata degree ya kwanza kwa mabeberu, lakini intention yangu iko palepale, nadhani sasa ndio wakati muhafaka tutakwenda sehemu kufanya research pamoja, tutaelewana tu kikubwa.😜😜