Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu usiogope wanaume wenzako, hawawezi kukutongoza labda kama unataka, mbona wanawake tunawaangalia makalio wala hawalalamikiMwanaume yeyote anaemuangalia mwanaume mwenzake matakoni
Tena anafikia hatua ya kusema jamaaa "anatingisha huyu"
Hilo li mwanaume ni firaji ni la kukaa nalo mbali
ndoa ni ndoano.......Dizasta vina ndoanoView attachment 1226662
Ndo chakula chake huyu mendeDuuuu... Kemea hilo pepo mkuu nina uahikika wakikupa hayo makalio hushindwi.
Hakika ww umenena jamaa anazunguka tuMbona kama unazunguka saaaaaaaana....... si uende straight kwenye kiini cha mada yako???
Mbona umekaza sanaa ? Kwanza mwanaume hana tako kuzidi ngumi sasa vipi litikisike ???Mnaombeza mleta mada ni wapuuzi sana.Jamaa kaongea ukweli wa kinyaa cha vijana wetu na mitikisiko ya makalio zaidi ya dada zao.
Huwa hamyaoni makalio hao na mitikisiko yake au mnazuga tu?
Nyambafuuu zenu wakuu,hahahahaaa
Maswali ni mengi majibu machache Mtoto wa nziMtoto wa kiume anavaa sarawili inambanaaaa kama tight na anaona poa tu
Yakisharuka kama karanga kuna wale wataanza kuyapepeta na kucheza na washeri zaoHizo nidanadana/mbwembwe/miondoko/swaga ndio mwisho wasiku wanajikuta matako yanarukaruka kama karanga
Na mie nashangaa Mkuu. Hadi wamenifanya niwaze wanatembeaje. Teh tehMnaombeza mleta mada ni wapuuzi sana.Jamaa kaongea ukweli wa kinyaa cha vijana wetu na mitikisiko ya makalio zaidi ya dada zao.
Huwa hamyaoni makalio hao na mitikisiko yake au mnazuga tu?
Nyambafuuu zenu wakuu,hahahahaaa