Wanaume wa kisasa na kutingisha makalio

Wanaume wa kisasa na kutingisha makalio

Mwanaume yeyote anaemuangalia mwanaume mwenzake matakoni

Tena anafikia hatua ya kusema jamaaa "anatingisha huyu"

Hilo li mwanaume ni firaji ni la kukaa nalo mbali
Mkuu usiogope wanaume wenzako, hawawezi kukutongoza labda kama unataka, mbona wanawake tunawaangalia makalio wala hawalalamiki
 
Tatizo si mavazi, si kutikisika kwa makalio wala si vyakula. Tatizo ni wewe ndugu, ikiwa kama mwanaume unapata wapi ujasiri wa kukaa, kutafakari na kutathmini mtikisiko wa makalio ya wanaume wenzio. Kaa chini uombe Mungu akuepushe na pepo la ushoga. Kumbuka mfanya na mfanywaji wa jinsia moja wote ni mashoga.
 
Mnaombeza mleta mada ni wapuuzi sana.Jamaa kaongea ukweli wa kinyaa cha vijana wetu na mitikisiko ya makalio zaidi ya dada zao.

Huwa hamyaoni makalio hao na mitikisiko yake au mnazuga tu?

Nyambafuuu zenu wakuu,hahahahaaa
 
Hahahahahha aisee rc fanya hawa vijana warudi shule mapema huku wameshatuchosha hv kabsa mwanaume unaangalia tako la mwanaume mwenzio sio there is something wrong with you
 
Mnaombeza mleta mada ni wapuuzi sana.Jamaa kaongea ukweli wa kinyaa cha vijana wetu na mitikisiko ya makalio zaidi ya dada zao.

Huwa hamyaoni makalio hao na mitikisiko yake au mnazuga tu?

Nyambafuuu zenu wakuu,hahahahaaa
Mbona umekaza sanaa ? Kwanza mwanaume hana tako kuzidi ngumi sasa vipi litikisike ???
 
Back
Top Bottom