Wanaume wa mikoani kuweni na mioyo ya kiume

Wanaume wa mikoani kuweni na mioyo ya kiume

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Nyie si ndio huwa mnajisifu ni majebedali sasa kiko wapi? Mbona mna mioyo ndembedembe sana? Ulevi wa kupindukia ni nyie.

Unyanyasaji dhidi ya wake zenu ni nyie, kukatakata mapanga wenzenu eti kisa umesikia fulani anatembea na mkeo ni nyie, uvivu ni nyie, kutekekeza familia ni nyie, kutwa kushinda kwenye vilabu vya pombe ni nyie.

Mna lakujifunza kwa sisi wanaume kweli kweli wa Dar, hatuna matukio ya ajabu ajabu kama nyie. Kuanzia leo nisisikie mwanaume yeyote mkoani akileta dharau dhidi yetu.
 
Embu endeleeni kuangalia tamthilia azam tv na dada zenu

Ya kwetu hamtayaweza tuachieni sisi wanaume wa mikoani tupambane na mambo ya kiume

Natamani Manzese ingejitenga na the rest of dar
 
Nyie si ndio huwa mnajisifu ni majebedali sasa kiko wapi? Mbona mna mioyo ndembedembe sana? Ulevi wa kupindukia ni nyie.

Unyanyasaji dhidi ya wake zenu ni nyie, kukatakata mapanga wenzenu eti kisa umesikia fulani anatembea na mkeo ni nyie, uvivu ni nyie, kutekekeza familia ni nyie, kutwa kushinda kwenye vilabu vya pombe ni nyie.

Mna lakujifunza kwa sisi wanaume kweli kweli wa Dar, hatuna matukio ya ajabu ajabu kama nyie. Kuanzia leo nisisikie mwanaume yeyote mkoani akileta dharau dhidi yetu.
Wanaume wa Dar kusema kweli hapana.... Mwanaume umeweka dread, umevaa kikaptula kifupi kama boxer, mwanaume uwez kumnyanyulia mwanamke wako mkono ukicheza ye ndo anakubonda, alafu ety manaume ya Dar na yenyewe yakifumania yanalia hadi kwikwi
 
Mawawa unawasema wanaume wa mkoani wepi? Hawa wanaolima mashamba toka alfajiri mpaka saa saba alafu jioni wanarudi na familia kupiga jembe? Hawa wanaonunua nguo moja mwaka mzima mpaka ichanike matakoni wako bize kufanya kazi za shamba ? Hawa wenye mashamba lukuki? Hawa ambao mwanamke anaolewa kwa heshima yake sio maungio yake?

Nahisi utakuwa unawasema wanaume wa mikoani kwenye nchi nyingine ila si Tanzania bro .
 
Nyie si ndio huwa mnajisifu ni majebedali sasa kiko wapi? Mbona mna mioyo ndembedembe sana? Ulevi wa kupindukia ni nyie.

Unyanyasaji dhidi ya wake zenu ni nyie, kukatakata mapanga wenzenu eti kisa umesikia fulani anatembea na mkeo ni nyie, uvivu ni nyie, kutekekeza familia ni nyie, kutwa kushinda kwenye vilabu vya pombe ni nyie.

Mna lakujifunza kwa sisi wanaume kweli kweli wa Dar, hatuna matukio ya ajabu ajabu kama nyie. Kuanzia leo nisisikie mwanaume yeyote mkoani akileta dharau dhidi yetu.
KWenye kulelewa hapo ni kweli wengi wanajitia sura za kazi lakini wengi wao Warhol tu
 
All generalisations are bad, even this one...
 
Back
Top Bottom