goldie ink
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 5,634
- 9,149
Ubungo terminal.Mikoani ndo wapi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nyie wapaka make up kaeni kimya, tutawaitia panya road wawanyooshe.
Hiv james delicious na kaoge si wanaume wa dar piaMkija mjini manzie Coco Beach muoge maji chumvi,Maana mkija mjini mnanuka sana tukipanda nanyie katika daladala tunatamani kushuka!
Kingine mna wivu sana mkiona mtu katiia V8 au Discover 4 ,Prado utawasikia mnalinga kwa gari za mkopo!yani nakopa V8au SUV Yoyote unatokwa povu kisa??wakati wewe unaishi Gongolamboto nahuko wenye V8 ni wakuhesabu jifunzeni ustaarabu,
, pia jifunzeni kuwa smart katika sehemu za starehe mnalewa mnadondoka na wakati hamna usafiri manategemea daladala mtakuja kufanyiwa kitu mbaya na wanaume wa Dar.
Haaah haaah hiyo ndio kazi yao kubwa
Poa wanaume wa dar tumewasikia kilio chenu
Jinsia yako maana uandishi utakuwa unatoka mpakani na mombasaLingine wanaume wetu niwapo juu kwenye kila kitu wanamudu vizuri secta zao ila dar hawana hizo sifa nimeshakuaga na mwanaume wenu kachoka tokea mdomo mpaka sekta muhimu anahangaika kufika hata kagoli kamoja halafu analala kama kafunga mia .
Yaani mnachosha nakukera mtu akija unatamaninasikuite maana tofauti na mengine hana lolote anakuchafua sisi wanaume wetu wananuka shombo couze wanaafya hebu mpe maji mtulize akupe vichapo mpaka unamuhonga manukato.
Sisi tunajiamini kuwa tupo juu kila sekta uchapaji kazi na pia usiku .
Wanaume wadar wao muda mwingi hujipodoa na eti kujiweka safi na huku wa mikoani wanasaka pesa hadi wanasahau kunukia couze hela ndio kwanza raha later.
hahahaaaaaaaaaaaaaaWanaume wa Dar walaini sana.Tuachie wanaume wetu wa mkoani.
Mkija mjini manzie Coco Beach muoge maji chumvi,Maana mkija mjini mnanuka sana tukipanda nanyie katika daladala tunatamani kushuka!
Kingine mna wivu sana mkiona mtu katiia V8 au Discover 4 ,Prado utawasikia mnalinga kwa gari za mkopo!yani nakopa V8au SUV Yoyote unatokwa povu kisa??wakati wewe unaishi Gongolamboto nahuko wenye V8 ni wakuhesabu jifunzeni ustaarabu,
, pia jifunzeni kuwa smart katika sehemu za starehe mnalewa mnadondoka na wakati hamna usafiri manategemea daladala mtakuja kufanyiwa kitu mbaya na wanaume wa Dar.