Wanaume wa Mkoa, bila shaka mmeona mafuriko kwa Makonda

Kwa niaba ya wanaume wa dar nampongeza mtoa nyuzi

Ipo sku wanaume wa dar tutapewa heshime yetu tunayostahili
Its only a matter of time
 
Hahaha, atakuwa amechanganya mafaili mimi na wachina wapi na wapi.
Wakitaka wanipate labda waje na nyingine ya wanawake walioahidiwa ndoa halafu wakakimbiwa[emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo hiyo umekimbia wengi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…