Wanaume wa Mkoa, bila shaka mmeona mafuriko kwa Makonda

hahahah Makonda amekaa na kipimo cha DNA pale kwake ujue
Hivi ww unaufaham wowote kuhusu kipimo cha DNA kweli???? Huwez kupata kujua uhakika wa baba wa mtoto bila kuwa blood details zozote za huyo baba.......sasa pale ulimuona baba yoyote????? Shwain
 
Kwa niaba ya wanaume wa dar nampongeza mtoa nyuzi

Ipo sku wanaume wa dar tutapewa heshime yetu tunayostahili
Its only a matter of time
Tarehe 26 mwezi huu jikomboeni aisee kwa kukiwasha hapo yaani wanaume wa mikoani wawili tu wanawatoa jasho hivyo wang'oeni tuone aisee. Maana kuna mmojawapo nasikia hana cheti na mwingine kawaingiza mkenge kwa pH 7_fake mchana mchana. Aisee mjikomboe ati.
 
Hata wanaume suruali pia walikuwepo kupeleka malalamiko.
 
Kwa niaba ya wanaume wa dar nampongeza mtoa nyuzi

Ipo sku wanaume wa dar tutapewa heshime yetu tunayostahili
Its only a matter of time
Msalimie mwanaume mwenzenu wa dar aitwae Ally Remtullah
 
Wanaume wa mkoa mpooooooooo????

Mna TV lakini???

mtakuwa mmepata kuona kama si kusikia mafuriko kwa RC.., hayo ndo matokeo ya zile chipsi tunazokula.

Nyie endeleeni kulima viazi huko mtuletee hapa mjini.

Shauri zenu


Nishatuma lori zima la viazi kugawa bure kwa kina Mama tu....si wanaume wa Dar.
 
Nimegundua wanaume wa Mkoa wa stress sana...., maisha siyo vita nyie.


Masogange hakwenda mkoani kwa miaka 12 iliyopita. Jiulizeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…