Wanaume wa mkoa jamani ni wachafu, 'mfyuuu'

Wanaume wa mkoa jamani ni wachafu, 'mfyuuu'

CIO kweli wote tu wanafanana kama kondacta wa dar kwel nao wamo top fv ya usaf
 
Si wote wewe ni huko ulikopelekwa ndio wako wote kamwe usifananishe mdebwedo wa Dar na wa mkoa.

Umefeli kwa hilo.
 
kwanza huyu kichupi mkononi aweke picha uone....nahc hta mwanaume wa dar hawez kutoa mpanga anapiga fagio la chuma anasepa.....dem akipita sokoni dagaa wanacheka
 
hivi mtu anayeishi hapa anakuwaje msafi?
Mtogole.jpg
8233630933_528034662a.jpg
3233303875_7576f330b6_b.jpg
Pit_latrine_in_Tandale,_Dar_es_Salaam_%283233304341%29.jpg
large.jpg
 
Ungekuwa msafi ungeweka picha yako tukakuona hapo ni kama nzi kafata mzoga hao unaosema wachafu wanakufataje we msafi
 
Kwan
Unapoongea mkoani unamaanisha vijijini, Dar ni jiji/mjini hata iwe makao makuu Dodoma bado mkoani,
hauna hadhi sawa na Dar.
.......kwani mwanza na arusha ni vijijini......???????
 
Back
Top Bottom