Wanaume wa mkoani muwe mnakumbuka kusugua meno

dyuteromaikota

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2013
Posts
5,929
Reaction score
8,327
Tupo kiwanja na wana tunamalizia weekend. Kaja jamaa kaongozana na mrembo mzuri tu lakini alivyokuja kutusalimu hiyo harufu ya kinywa ni balaa. Mwana katutambulisha jamaa katoka mkoani.
Ni hayo tu. Kuna dawa za meno za ukwee kama vile sensodine nk. Pia kuna mouth wash.

Mkija mjini mjue namna ya kujiweka safi.
 
Kupiga mswaki ni umama..
 
Mtoa mada mbwa na unafilwa kabisa acha dharau afu kumbuka saizi jiji la mastarehe ni Dodoma,acha story za abunwasi eti kenge kagoma kwenda shule.
 
Wanaume wa Dar bana tukishawachukulia warembo wenu mnakimbilia JeiEfu kuja kulia lia kutupakazia mambo meeeeengi ili kujipooza na maumivu ,sasa mara mtoto mzuri mara ananuka mdomo yote ya nini hiyo
 
Hivi watu wa mikoani mna tuonaje?
 
Wanaume wa Dar bana tukishawachukulia warembo wenu mnakimbilia JeiEfu kuja kulia lia kutupakazia mambo meeeeengi ili kujipooza na maumivu ,sasa mara mtoto mzuri mara ananuka mdomo yote ya nini hiyo
Mkuu mkija mjini mnabeba malaya sio warembo wa ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…