Wanaume wa mkoani muwe mnakumbuka kusugua meno

Wanaume wa mkoani muwe mnakumbuka kusugua meno

sasa si wakubali tu mbona wana panic wakati huwaga wana tusema then sisi tuna kausha tu
Hapo sasa hawajui hata wake za wanaume wa dar huwa wanajisikia vibaya, wakubali tu wapo nyuma kiusafi yaishe
 
Tatizo la wanaume wa Dar wakishakula chips mayai utawajua tu
IMG-20181010-WA0014.jpg
 
kunuka kinywa ni tatizo kubwa sana sasa na wala sio kwa jisi ya kike au kiume,wala si kwa kutoka mikoani au dar,ni wote
 
Back
Top Bottom