Ulweso JF-Expert Member Joined May 24, 2016 Posts 23,111 Reaction score 28,020 Oct 14, 2018 #41 hearly said: sasa si wakubali tu mbona wana panic wakati huwaga wana tusema then sisi tuna kausha tu Click to expand... Hapo sasa hawajui hata wake za wanaume wa dar huwa wanajisikia vibaya, wakubali tu wapo nyuma kiusafi yaishe
hearly said: sasa si wakubali tu mbona wana panic wakati huwaga wana tusema then sisi tuna kausha tu Click to expand... Hapo sasa hawajui hata wake za wanaume wa dar huwa wanajisikia vibaya, wakubali tu wapo nyuma kiusafi yaishe
hearly JF-Expert Member Joined Jun 19, 2014 Posts 45,678 Reaction score 63,304 Oct 14, 2018 #42 Ulweso said: Hapo sasa hawajui hata wake za wanaume wa dar huwa wanajisikia vibaya, wakubali tu wapo nyuma kiusafi yaishe Click to expand... hahaa hawataki " wanaona kuwa wameshikwa pabaya
Ulweso said: Hapo sasa hawajui hata wake za wanaume wa dar huwa wanajisikia vibaya, wakubali tu wapo nyuma kiusafi yaishe Click to expand... hahaa hawataki " wanaona kuwa wameshikwa pabaya
B Bakariforever JF-Expert Member Joined Aug 30, 2017 Posts 510 Reaction score 511 Oct 21, 2018 #43 Tatizo la wanaume wa Dar wakishakula chips mayai utawajua tu
mayraclara Member Joined Oct 6, 2018 Posts 20 Reaction score 6 Nov 1, 2018 #44 ndetichia said: Kupiga mswaki ni umama.. Click to expand... Hahaahahah umetishaa mkuuu
fimboyaasali JF-Expert Member Joined Jan 14, 2011 Posts 8,617 Reaction score 8,244 Nov 2, 2018 #45 kunuka kinywa ni tatizo kubwa sana sasa na wala sio kwa jisi ya kike au kiume,wala si kwa kutoka mikoani au dar,ni wote
kunuka kinywa ni tatizo kubwa sana sasa na wala sio kwa jisi ya kike au kiume,wala si kwa kutoka mikoani au dar,ni wote