Wanaume wa mkoani wanapoingia jijini

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
 
Sasa mura chachandu ya nini sisi unashikiria pilipili mkono wa kushoto afu unakua unatafunia taratibu afu ndimu ni marufuku kutumia hizo wanatumia wanaume wa dar pekee

Umenichekesha Mura, hata kwenye mahindi hamuweki ndimu kama mjini dasalam!
 
Unawezaje kuifananisha arusha na dar we ni ki.azi kweli dar hii hii au dar ya Somalia?arusha bado sana labda kidogo mwanza inakua kwa kasi sana,yaani ukiwa angani arusha ilivyo utadhani moshi tu
Point of correction, Sijafananisha na SIWEZI kufananisha "Heaven na Hell"
Atleast kiazi kuliko Bash... we ni kilaza upende kusoma uelewe ndo u-comment.
 
Heshima pesa,hata uwe unakaa vijijini ukiwa na pesa mfukoni watajireta tu.Na siku zote anayejipitisha mbele ya wanaume ili aonekane, ndo mshamba koz anaweza akajipitisha na asichaguliwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…