Wanaume wa sasa hawana tofauti na Wanawake

Wanaume wa sasa hawana tofauti na Wanawake

1. 'Wamukabili' mwanamke kwani mwanamke ni adui yao?
2. Kua na maelewano/majadiliano ndani ya nyumba kuna ubaya gani? Maana kinachowauma ni wazo la mwanamke kuweza kushauri/sisitiza kitu ambacho hata mwanaume anaona ndicho sahihi na sio zaidi ya hapo.
3. Wanafikia vipi kuoa? Na aliyekwambia kumtokea mwanamke ni ujasiri nani? Ujasiri onyesha kwenye kupambana na simba sio kutongoza.
4. Kumkodolea mtu macho kunamhakikishia vipi mtu uanaume wake umekamilika?
5. Hao unaowaongelea ni wavulana au tuseme watoto wa kiume na sio wanaume ndio wanaotongoza uchochoroni kwenye majani na kuta.
6.Kumpikia mke sio haki sawa, ni mapenzi na maelewano.
7. Wakati wanapokua single na wanaosha vyombo/au wale wanaofanya kazi mahotelini uanaume wao hua unachukuliwa na sabuni ehhh?
8. Unataka watembee kama wanajeshi wako jeshini?
9. Mtu anaongeaje kwa kurembua? Sauti nayo hua inarembua?
10. Wanawake nao wakipewa nguvu za kiume watakua wanaume? Wanaopata hayo matatizo kutokana na magonjwa kuumwa kwao nako ni kwasababu sio wanaume ehhh?
11. Hamna aliyezaliwa anacho. . . kika mtu anapewa kuendana na anachotoa.

aisee we ni LEGEND.
 
1. 'Wamukabili' mwanamke kwani mwanamke ni adui yao?
2. Kua na maelewano/majadiliano ndani ya nyumba kuna ubaya gani? Maana kinachowauma ni wazo la mwanamke kuweza kushauri/sisitiza kitu ambacho hata mwanaume anaona ndicho sahihi na sio zaidi ya hapo.
3. Wanafikia vipi kuoa? Na aliyekwambia kumtokea mwanamke ni ujasiri nani? Ujasiri onyesha kwenye kupambana na simba sio kutongoza.
4. Kumkodolea mtu macho kunamhakikishia vipi mtu uanaume wake umekamilika?
5. Hao unaowaongelea ni wavulana au tuseme watoto wa kiume na sio wanaume ndio wanaotongoza uchochoroni kwenye majani na kuta.
6.Kumpikia mke sio haki sawa, ni mapenzi na maelewano.
7. Wakati wanapokua single na wanaosha vyombo/au wale wanaofanya kazi mahotelini uanaume wao hua unachukuliwa na sabuni ehhh?
8. Unataka watembee kama wanajeshi wako jeshini?
9. Mtu anaongeaje kwa kurembua? Sauti nayo hua inarembua?
10. Wanawake nao wakipewa nguvu za kiume watakua wanaume? Wanaopata hayo matatizo kutokana na magonjwa kuumwa kwao nako ni kwasababu sio wanaume ehhh?
11. Hamna aliyezaliwa anacho. . . kika mtu anapewa kuendana na anachotoa.


Dah,kuna bunduki MMU hazitaki upuuzi.
Ukihara zinakumaliza,.....ya kwanza Lizzy,ya pili Marty...............umemaliza mama.
 
Binafsi naona wanaume wengi sasa hivi wanapenda mteremko,hawapendi kuwajibika na kujishughulisha.wanawaachia kila kitu wake zao.unakuta mwanamke ndo anajali majukumu ya nyumbani kama vile kununua luku,mahitaji ya nyumbani na hata ada za watoto.binafsi nakereka sana na wanaume wenye tabiia hizi.tofauti na zaman baba alikuwa baba kweli.anajali familia na kusaply mahitaji yote ya familia.walikuwa wanajiamini.wanawake hasa wale ambao hawajaingia kwenye ndoa wanatakiwa kuwa makini sana coz wanaume wengi asa hivi ni opportunist
 
Mkuu, tafsiri ya ujasiri ni uwezo wa mwanaume ku 'approach' mwanamke?
(namba 1) Ebu fafanua.
 
Binafsi naona wanaume wengi sasa hivi wanapenda mteremko,hawapendi kuwajibika na kujishughulisha.wanawaachia kila kitu wake zao.unakuta mwanamke ndo anajali majukumu ya nyumbani kama vile kununua luku,mahitaji ya nyumbani na hata ada za watoto.binafsi nakereka sana na wanaume wenye tabiia hizi.tofauti na zaman baba alikuwa baba kweli.anajali familia na kusaply mahitaji yote ya familia.walikuwa wanajiamini.wanawake hasa wale ambao hawajaingia kwenye ndoa wanatakiwa kuwa makini sana coz wanaume wengi asa hivi ni opportunist

Kwani haki sawa mnazotaka ni zipi jama?
au ni kwenye raha tu ndo mnataka haki sawa ila kwenye majukumu awajibike baba tu?
Ndo maana siku hizi ili uolewe inabidi uwe na kazi,tena kazi ya maana kweli.

Mkiwezeshwa mnaweza,tume wawezesha sana somesheni watoto na lisheni familia hahaha.
 
Binafsi naona wanaume wengi sasa hivi wanapenda mteremko,hawapendi kuwajibika na kujishughulisha.wanawaachia kila kitu wake zao.unakuta mwanamke ndo anajali majukumu ya nyumbani kama vile kununua luku,mahitaji ya nyumbani na hata ada za watoto.binafsi nakereka sana na wanaume wenye tabiia hizi.tofauti na zaman baba alikuwa baba kweli.anajali familia na kusaply mahitaji yote ya familia.walikuwa wanajiamini.wanawake hasa wale ambao hawajaingia kwenye ndoa wanatakiwa kuwa makini sana coz wanaume wengi asa hivi ni opportunist

Jamani, utandawazi! Dunia inabadirika tutake tusitake. Lakini nadhani concern yangu hapa ni mmomonyoko wa maadili, but boys will be boys unless this thread has got a false analogue.
 
Si kila mmoja anavuta kamba upande wake.
 
siku moja nikiwa na safiri kuelekea dar esalam kutoka mbeya nikiwa kwenye kituo cha mabasi, kulikuwa na wazee wawili, walikuwa na maada ambayo walinifanya niwadadisi kwa undani zaidi ,wakidai kuwa vijana wa kiume wasasa hawana tofauti na mwanamke isipokuwa maumbile tu ndiyo yanawatenganisha mengine yote nisawa ,walitaja sababu 1. Vijana hawana ujasili. Wanaogopa kumukabili mwanamke 2. Kwenye ndoa mwanamke amekuwa na amri sawa na mwanaume 3. Waoga hata kumtokea mwanamke 4.wakikutanisha macho na mwanamke huwa wakwanza kuinamishwa kichwa chini 5. Akimtongoza mwanamke yeye ndiye wakuuma uma nyasi na kushika ukuta 6. Walio kwenye ndoa humpikia mwanamke wakidai haki sawa 7.huosha vyombo 8.mwendo wamelegea legea kama wanawake 9. Huongea kwa kurembua rembua 10.hawana nguvu kila siku kwa waganga kutafuta nguvu za kiume 11.wanakubali kuhongwa wakiita zali la metali

achana na wazee bana! Enzi za sasa si zile zao!
 
Sina uhakika kama aliyeweka mada hii alidhamiria kuonyesha dharau zake kwa wanaume ama ni anataka kufahamu, Nimeshtushwa na maneno mazito tena kwa kuwajumuisha wanaume wote, but anyway..............
:embarassed2:
Kama wewe ni binti, muangalie boyfriend wako ama mumeo kama unaye kisha jaribu kijilinganisha nae utalipata jibu la hoja yako
 
Siku moja nikiwa na safiri kuelekea Dar esalam kutoka mbeya nikiwa kwenye kituo cha mabasi, kulikuwa na wazee wawili, walikuwa na maada ambayo walinifanya niwadadisi kwa undani zaidi ,wakidai kuwa vijana wa kiume wasasa hawana tofauti na mwanamke isipokuwa maumbile tu ndiyo yanawatenganisha mengine yote nisawa ,walitaja sababu 1. Vijana hawana ujasili. Wanaogopa kumukabili mwanamke 2. Kwenye ndoa mwanamke amekuwa na amri sawa na mwanaume 3. Waoga hata kumtokea mwanamke 4.wakikutanisha macho na mwanamke huwa wakwanza kuinamishwa kichwa chini 5. Akimtongoza mwanamke yeye ndiye wakuuma uma nyasi na kushika ukuta 6. Walio kwenye ndoa humpikia mwanamke wakidai haki sawa 7.huosha vyombo 8.mwendo wamelegea legea kama wanawake 9. Huongea kwa kurembua rembua 10.HAWANA NGUVU kila siku kwa waganga kutafuta nguvu za kiume 11.wanakubali kuhongwa wakiita zali la metali

Waliyaomgea hayo baada ya kukuona wewe. Nakuapia wakikutana na mimi watabadili maoni yao.
 
hizi ni habari mbaya sana kwa vijana(wavulana) wa sasa.JIREKEBISHENI
 
Binafsi naona wanaume wengi sasa hivi wanapenda mteremko,hawapendi kuwajibika na kujishughulisha.wanawaachia kila kitu wake zao.unakuta mwanamke ndo anajali majukumu ya nyumbani kama vile kununua luku,mahitaji ya nyumbani na hata ada za watoto.binafsi nakereka sana na wanaume wenye tabiia hizi.tofauti na zaman baba alikuwa baba kweli.anajali familia na kusaply mahitaji yote ya familia.walikuwa wanajiamini.wanawake hasa wale ambao hawajaingia kwenye ndoa wanatakiwa kuwa makini sana coz wanaume wengi asa hivi ni opportunist

Asante kwa taarifa. Ingekuwa ngumu sana kuipata kwa mtu mwingine kwa kuwa wewe ni mmoja kati ya wanawake wachache waliofanya juhudi ya kuishi na wanaume wengi mpk ukazijua tabia za wanaume wengi.

Ila navyofahamu mimi, wanaume wa ajabu waliiishi zamani kidogo iliyopita. Huko vijijini wanaume hawaendi hata kulima, wake zao ndio hulima na kulea familia. Haya ukienda hata TGNP utayapata kwani ni kesi nyingi za ukatili zililala kwenye kraiteria hii
 
1. 'Wamukabili' mwanamke kwani mwanamke ni adui yao?2. Kua na maelewano/majadiliano ndani ya nyumba kuna ubaya gani? Maana kinachowauma ni wazo la mwanamke kuweza kushauri/sisitiza kitu ambacho hata mwanaume anaona ndicho sahihi na sio zaidi ya hapo.3. Wanafikia vipi kuoa? Na aliyekwambia kumtokea mwanamke ni ujasiri nani? Ujasiri onyesha kwenye kupambana na simba sio kutongoza.4. Kumkodolea mtu macho kunamhakikishia vipi mtu uanaume wake umekamilika?5. Hao unaowaongelea ni wavulana au tuseme watoto wa kiume na sio wanaume ndio wanaotongoza uchochoroni kwenye majani na kuta.6.Kumpikia mke sio haki sawa, ni mapenzi na maelewano.7. Wakati wanapokua single na wanaosha vyombo/au wale wanaofanya kazi mahotelini uanaume wao hua unachukuliwa na sabuni ehhh?8. Unataka watembee kama wanajeshi wako jeshini?9. Mtu anaongeaje kwa kurembua? Sauti nayo hua inarembua?10. Wanawake nao wakipewa nguvu za kiume watakua wanaume? Wanaopata hayo matatizo kutokana na magonjwa kuumwa kwao nako ni kwasababu sio wanaume ehhh?11. Hamna aliyezaliwa anacho. . . kika mtu anapewa kuendana na anachotoa.
....Feminist. Always.
 
hizi ni habari mbaya sana kwa vijana(wavulana) wa sasa.JIREKEBISHENI

Uzushi mtupu. Eti tukitongoza tunatazama chini, nani kawaambia siku hizi tunatongoza? Demu hata kabla hujamueleza tayari anakwambia keshakuelewa, sasa hilo suala la kutiongozana linatokea wapi. Jichanganye urembeke uone kama ntatazama chini. Tunatongoza wanaume wenzetu leo hii iwe watu ambao wameumbwa kutongozeka!
 
Nilikuwa napita tu, naelekea katika utafiti wa kisayansi kuyabaini hayo madai ya NDOKEJI na LIZZY kwani ni utata mno. Au ndio sababu LADY JD "wanaume kama Mabinti?"
 
1. 'Wamukabili' mwanamke kwani mwanamke ni adui yao?
2. Kua na maelewano/majadiliano ndani ya nyumba kuna ubaya gani? Maana kinachowauma ni wazo la mwanamke kuweza kushauri/sisitiza kitu ambacho hata mwanaume anaona ndicho sahihi na sio zaidi ya hapo.
3. Wanafikia vipi kuoa? Na aliyekwambia kumtokea mwanamke ni ujasiri nani? Ujasiri onyesha kwenye kupambana na simba sio kutongoza.
4. Kumkodolea mtu macho kunamhakikishia vipi mtu uanaume wake umekamilika?
5. Hao unaowaongelea ni wavulana au tuseme watoto wa kiume na sio wanaume ndio wanaotongoza uchochoroni kwenye majani na kuta.
6.Kumpikia mke sio haki sawa, ni mapenzi na maelewano.
7. Wakati wanapokua single na wanaosha vyombo/au wale wanaofanya kazi mahotelini uanaume wao hua unachukuliwa na sabuni ehhh?
8. Unataka watembee kama wanajeshi wako jeshini?
9. Mtu anaongeaje kwa kurembua? Sauti nayo hua inarembua?
10. Wanawake nao wakipewa nguvu za kiume watakua wanaume? Wanaopata hayo matatizo kutokana na magonjwa kuumwa kwao nako ni kwasababu sio wanaume ehhh?
11. Hamna aliyezaliwa anacho. . . kika mtu anapewa kuendana na anachotoa.

Kumbe kuna wakati Lissa unaweza kutuliza akili ukaongea kitu cha maana! Kweli nilikuwa sijawahi kuwaza
 
Back
Top Bottom