Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,125
- 7,373
1. 'Wamukabili' mwanamke kwani mwanamke ni adui yao?
2. Kua na maelewano/majadiliano ndani ya nyumba kuna ubaya gani? Maana kinachowauma ni wazo la mwanamke kuweza kushauri/sisitiza kitu ambacho hata mwanaume anaona ndicho sahihi na sio zaidi ya hapo.
3. Wanafikia vipi kuoa? Na aliyekwambia kumtokea mwanamke ni ujasiri nani? Ujasiri onyesha kwenye kupambana na simba sio kutongoza.
4. Kumkodolea mtu macho kunamhakikishia vipi mtu uanaume wake umekamilika?
5. Hao unaowaongelea ni wavulana au tuseme watoto wa kiume na sio wanaume ndio wanaotongoza uchochoroni kwenye majani na kuta.
6.Kumpikia mke sio haki sawa, ni mapenzi na maelewano.
7. Wakati wanapokua single na wanaosha vyombo/au wale wanaofanya kazi mahotelini uanaume wao hua unachukuliwa na sabuni ehhh?
8. Unataka watembee kama wanajeshi wako jeshini?
9. Mtu anaongeaje kwa kurembua? Sauti nayo hua inarembua?
10. Wanawake nao wakipewa nguvu za kiume watakua wanaume? Wanaopata hayo matatizo kutokana na magonjwa kuumwa kwao nako ni kwasababu sio wanaume ehhh?
11. Hamna aliyezaliwa anacho. . . kika mtu anapewa kuendana na anachotoa.
aisee we ni LEGEND.