Wanaume wa sasa hivi wengi mitihani mitupu...!!

mtoto wa kike asili yangu kuhongwaa...mkubali mkatae hata kama ntafanya kazi kama zote..

KUHONGWA ni jina tu limetafutwa ili kuficha malipo yanayofanywa ili mtu apate PAPUCHI (kununua pusi)....nikimaanisha mtu haezi kukuhonga kama humpi mzigo na akihonga ikatokea hajapata mzigo anahesabu kama ametapeliwa...
 
Hao ni kama yule jamaa wa jf anaitwa sijui jenticimaini.


Huyu jamaa ni shiidaa, Mara mnyarwanda, Mara mzanaki, Mara amefika south afrika, Mara afrika mashariki, Mara Tanzania,


Wadada wakisikia hivyo wanaingia kingi fasta.
 
Yaani wanafanya kama kutukomoa, wakati sisi ni muda kidogo timemaliza.
Watake wasitake sisi ndo tumeshikilia mstakabali wa maisha yao na dunia kwa ujumla....hata tukitaka kuanzia Leo wanawake wawe wanatembea huku wanakata viuno..watafanya hvo....shubhaamiti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…