Wanaume wa siku hizi hamjiamini

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]uongo wa wazi kAbisaa humu si mnajisifia muna michepuko kwamba Hakuna mwanaume asie cheat
Ww hujiulizi hao wanaume wanazini na akina nani mbuzi au ? Kama hakuna mwanaume asyechepuka basi na wanawake ni hivyohivyo
 
Nishashuhudia jamaa mmoja akigongewa mke na houseboy, jamaa yuko safari nje ya nchi. Mke yupo nyumbani kwa kina jamaa yaani (ukweni) sasa kuna houseboy pale kama wawili. Mmoja akajaribu kumtongoza yule mwanamke (mke wa jamaa) binti mwanzo akakaza, baadae akalegeza... mwisho akakubali, akaingia Line.

Kijana (Houseboy) alikuwa anamla mke wa jamaa utasema kamuoa yeye.... yaani kama kwenye (Brazzers) vile, Tena juu ya kitanda cha mjamaa! Ndani ya chumbani chao! Mke alianza kuwa anaenda chumba cha kijana usiku mnene kupigwa miti, aliponogewa akawa anamuingiza chumbani usiku kila mtu akiwa amelala.

Houseboy alikuwa anamnyoosha KISAWASAWA!

Wanawake ni ng'ombe!
 
Na wanaume wasiosaliti ni wangapii kati ya 10
Hili swali lako linaonyesha haupo strict na mada uliyoleta.

Leo tungezungumzia tu wanaume wajiamini, sex haifanywi kwa macho barabarani...

Kati ya mambo huwakosesha imani wanaume ni haya mawazo ya tit-for-tat kwa wanawake, ambayo kwa namna moja au nyingine nawewe umeyaleta.

Tuendelee kutoaminiana, kuwindana, kila mmona aishi maisha ya kumhisia mwenzie ili amlipizie 🤌🤌

Au Tuchague njia ya kumwamini na kutimiza wajibu wako, bila kujali/kuhisi anafanya nini uishi kwa amani.


Goood morning good people
 
Siku hizi hakuna minato tena ni bahari tu, apo unajiamini vipi wakati kuna chupa za bia na matango ni mume mwenza [emoji848][emoji848][emoji848]
 
Sio hatujiamini tunaongea yanayofanyika, women now days are cheap, ni walaini mno tena mno, wagumu ni wachache sana, kama wewe sio linapozungumzwa hilo unashukuru kwamba sio Mimi, lakini usiwatetee wenzio wale wanawake wa kuwatongozoa wiki, mwezi mpaka miezi huwakuti siku hizi mwanamke unatongozwa Leo unakubali na mzigo unaweza ukatoa leo Leo ukichelewa sana kesho yake mtu analiwa
 
Ndo vizuri sasa ili tupate mbususu, upwiru upungue, sasa ukizungushwa miezi si utakufa na genye nduguzangu.
 
[emoji625][emoji625]
 
Ndo vizuri sasa ili tupate mbususu, upwiru upungue, sasa ukizungushwa miezi si utakufa na genye nduguzangu.
Raha ya mbususu uipambanie hizi za kujileta unaweza dhani zina mgonjwa, kununua nyama inzyozungushwa mtaani na ya buchani licha ya kuwa zote ni nyama ila ya Buchan inathamani zaidi
 
Umesema kweli, wanawake wa kisasa mnajuwa haki zenu, kutokana na hilo mna tu confront bila woga, kaheshima ka ki Afrika hakapo tena, mnadai mambo ambayo mama zetu walimezea kwa woga uliopita kiasi, mavazi yenu, utembeaji wenu, makorokocho usoni na kwenye nywele mpaka kucha ni kama majini siku hizi! Siyo kwamba hamtamanishi ila tunatishika na huo muonekano, mama zetu walikuwa plain and simple kumbukeni.
Kwenye uroda ndio usiseme, lazima tusisikilizie mpaka babes kamaliza vyake vinne au vitano! Hapo sasa!
Mnajuwa tulivyowepesi wa kumaliza. Sasa tuko under pressure kuwa service, ama sivyo mtatusema kwa wenzenu au vijana maofisini!
Bado maswala madogo lakini kwenu ni muhimu kuliko mkataba wa dp world!
Tukumbuke anniversary...
Tukumbuke birthday zenu..
Za watoto
WAZAZI wenu
Za marafiki zenu..
Acha kabisa..
Bado kuwatoa lunch na dinner pale tutakapopata mishahara
Bado kuwatoa watoto na ninyi (including housegirl) beach!
Haya kusaidia hapa na pale ukweni..
Kuongozana shopping za wiki na zile za kwenu(ambazo ni pasua kichwa maana utajaribu nguo/viatu/hereni/bangili/ sijuwi nini Kwa masaa sita!
Bado kukumbushwa mara kwa mara barabarani kwamba mguu kwenye accelerator umezidi!
Hatujaongelea kununa kila tukiwaambia tunaenda kukutana na Massawe, Massanja, Mushobozi pub kuangalia mpira! Na hata tukipata Visa bado tunakumbushwa kilauri zisizidi mpaka tukawa tunaimba Wamfuma mwikolo....
Yote haya MACHACHE lazima yatukoseshe amani na kujiamini...
 
NJIA PEKEE YA MWANAUME KUKUAMINI NA YEYE KUJIAMNI JUU YAKO, NI PALE ANAPO KUKUTA UKIWA MSICHANA.
SASA EBU WE MWENYEWE FIKIRIA, MPAKA SASA HIVI NI WANGAPI, WALIISHAKOJOA?

KWAMBA, MWANAUME ANAPATA WALE WALIO TUMIWA NA WENGINE. NA WENGINE WANAPATA AWALIO TUMIWA NA YEYE.
NA USISAHAU, UKIISHA LALA NA MTU.TAYARI UNA MAFUNGAMANO NAYE! NA NDIO MAANA KUMBUKUMBU ZA WOTE WADAU UNAZO NA HAZIFUTIKI.
 
Mama muzungu msaliti wewe😁
 
Stupid
 
Kaeni chini myamalize na babamzungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…