Cr wa familia
JF-Expert Member
- Jun 18, 2023
- 1,064
- 1,442
Ww hujiulizi hao wanaume wanazini na akina nani mbuzi au ? Kama hakuna mwanaume asyechepuka basi na wanawake ni hivyohivyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]uongo wa wazi kAbisaa humu si mnajisifia muna michepuko kwamba Hakuna mwanaume asie cheat
Hili swali lako linaonyesha haupo strict na mada uliyoleta.Na wanaume wasiosaliti ni wangapii kati ya 10
Siku hizi hakuna minato tena ni bahari tu, apo unajiamini vipi wakati kuna chupa za bia na matango ni mume mwenza [emoji848][emoji848][emoji848]Sijakosea ndio nilichomaanishaa
Wanaume wa nyakati hizi hamjiamini muda wote munawaza usaliti usaliti usaliti usaliti
Kila nyuzi humu ni kuhusu usaliti
Hivi inakuaje unamuwazia mwenzio kukusaliti…
Nyuzi za kuchapiwa tu za kuhisi mara ooh mliooa wanawake wafanyakazi wanaliwa na maboss [emoji3]
Mara kama umemuacha houseboy nyumbani ujue anakula mkeo
Hiyo mindset yenu inawaza usaliti tu…hayo mazingira minayoyatengeneza kwenye ufahamu wenu shetani anawachora mwisho wa siku mdomo uumba…
Kama wewe ulishachetiwa na mkeo kazini kwao usiconclude wanawake wote huliwa maofisini mwao
Hii picha munayoitengenezaa munawaogopesha na wenginee ambao mapenzi yao yapo moto moto
Nawasilisha[emoji23]
Sio hatujiamini tunaongea yanayofanyika, women now days are cheap, ni walaini mno tena mno, wagumu ni wachache sana, kama wewe sio linapozungumzwa hilo unashukuru kwamba sio Mimi, lakini usiwatetee wenzio wale wanawake wa kuwatongozoa wiki, mwezi mpaka miezi huwakuti siku hizi mwanamke unatongozwa Leo unakubali na mzigo unaweza ukatoa leo Leo ukichelewa sana kesho yake mtu analiwaSijakosea ndio nilichomaanishaa
Wanaume wa nyakati hizi hamjiamini muda wote munawaza usaliti usaliti usaliti usaliti
Kila nyuzi humu ni kuhusu usaliti
Hivi inakuaje unamuwazia mwenzio kukusaliti…
Nyuzi za kuchapiwa tu za kuhisi mara ooh mliooa wanawake wafanyakazi wanaliwa na maboss [emoji3]
Mara kama umemuacha houseboy nyumbani ujue anakula mkeo
Hiyo mindset yenu inawaza usaliti tu…hayo mazingira minayoyatengeneza kwenye ufahamu wenu shetani anawachora mwisho wa siku mdomo uumba…
Kama wewe ulishachetiwa na mkeo kazini kwao usiconclude wanawake wote huliwa maofisini mwao
Hii picha munayoitengenezaa munawaogopesha na wenginee ambao mapenzi yao yapo moto moto
Nawasilisha[emoji23]
Ndo vizuri sasa ili tupate mbususu, upwiru upungue, sasa ukizungushwa miezi si utakufa na genye nduguzangu.Sio hatujiamini tunaongea yanayofanyika, women now days are cheap, ni walaini mno tena mno, wagumu ni wachache sana, kama wewe sio linapozungumzwa hilo unashukuru kwamba sio Mimi, lakini usiwatetee wenzio wale wanawake wa kuwatongozoa wiki, mwezi mpaka miezi huwakuti siku hizi mwanamke unatongozwa Leo unakubali na mzigo unaweza ukatoa leo Leo ukichelewa sana kesho yake mtu analiwa
[emoji625][emoji625]Mimi ninachoogopa ni magonjwa tu ila kama anaplay safe na sijajua chochote fresh me sichungi mtu mzima aseee sasa siku hizi mtu hata kama ametulia zake watu tunalazimisha kumwazia ubaya [emoji23][emoji23]
Mtu ukiwaza muda wote unachapiwa hakuna kitu utafanya mradi hiyo sio sabuni itaisha we ukifika endelea walipoishia wengine!!
Hiyo ni mali ya mtu kama ilivyo macho na maskio usimpangie matumizi
Raha ya mbususu uipambanie hizi za kujileta unaweza dhani zina mgonjwa, kununua nyama inzyozungushwa mtaani na ya buchani licha ya kuwa zote ni nyama ila ya Buchan inathamani zaidiNdo vizuri sasa ili tupate mbususu, upwiru upungue, sasa ukizungushwa miezi si utakufa na genye nduguzangu.
[emoji625][emoji625]Umesema vizuri kabisa! Ukisikia mwenzako anakuhisi ni Msaliti,ujue yeye ndiye Msaliti wa kutupwa.
Umesema kweli, wanawake wa kisasa mnajuwa haki zenu, kutokana na hilo mna tu confront bila woga, kaheshima ka ki Afrika hakapo tena, mnadai mambo ambayo mama zetu walimezea kwa woga uliopita kiasi, mavazi yenu, utembeaji wenu, makorokocho usoni na kwenye nywele mpaka kucha ni kama majini siku hizi! Siyo kwamba hamtamanishi ila tunatishika na huo muonekano, mama zetu walikuwa plain and simple kumbukeni.Sijakosea ndio nilichomaanishaa
Wanaume wa nyakati hizi hamjiamini muda wote munawaza usaliti usaliti usaliti usaliti
Kila nyuzi humu ni kuhusu usaliti
Hivi inakuaje unamuwazia mwenzio kukusaliti…
Nyuzi za kuchapiwa tu za kuhisi mara ooh mliooa wanawake wafanyakazi wanaliwa na maboss [emoji3]
Mara kama umemuacha houseboy nyumbani ujue anakula mkeo
Hiyo mindset yenu inawaza usaliti tu…hayo mazingira minayoyatengeneza kwenye ufahamu wenu shetani anawachora mwisho wa siku mdomo uumba…
Kama wewe ulishachetiwa na mkeo kazini kwao usiconclude wanawake wote huliwa maofisini mwao
Hii picha munayoitengenezaa munawaogopesha na wenginee ambao mapenzi yao yapo moto moto
Nawasilisha[emoji23]
NJIA PEKEE YA MWANAUME KUKUAMINI NA YEYE KUJIAMNI JUU YAKO, NI PALE ANAPO KUKUTA UKIWA MSICHANA.Sijakosea ndio nilichomaanishaa
Wanaume wa nyakati hizi hamjiamini muda wote munawaza usaliti usaliti usaliti usaliti
Kila nyuzi humu ni kuhusu usaliti
Hivi inakuaje unamuwazia mwenzio kukusaliti…
Nyuzi za kuchapiwa tu za kuhisi mara ooh mliooa wanawake wafanyakazi wanaliwa na maboss [emoji3]
Mara kama umemuacha houseboy nyumbani ujue anakula mkeo
Hiyo mindset yenu inawaza usaliti tu…hayo mazingira minayoyatengeneza kwenye ufahamu wenu shetani anawachora mwisho wa siku mdomo uumba…
Kama wewe ulishachetiwa na mkeo kazini kwao usiconclude wanawake wote huliwa maofisini mwao
Hii picha munayoitengenezaa munawaogopesha na wenginee ambao mapenzi yao yapo moto moto
Nawasilisha[emoji23]
Mama muzungu msaliti wewe😁Sijakosea ndio nilichomaanishaa
Wanaume wa nyakati hizi hamjiamini muda wote munawaza usaliti usaliti usaliti usaliti
Kila nyuzi humu ni kuhusu usaliti
Hivi inakuaje unamuwazia mwenzio kukusaliti…
Nyuzi za kuchapiwa tu za kuhisi mara ooh mliooa wanawake wafanyakazi wanaliwa na maboss [emoji3]
Mara kama umemuacha houseboy nyumbani ujue anakula mkeo
Hiyo mindset yenu inawaza usaliti tu…hayo mazingira minayoyatengeneza kwenye ufahamu wenu shetani anawachora mwisho wa siku mdomo uumba…
Kama wewe ulishachetiwa na mkeo kazini kwao usiconclude wanawake wote huliwa maofisini mwao
Hii picha munayoitengenezaa munawaogopesha na wenginee ambao mapenzi yao yapo moto moto
Nawasilisha[emoji23]
StupidSijakosea ndio nilichomaanishaa
Wanaume wa nyakati hizi hamjiamini muda wote munawaza usaliti usaliti usaliti usaliti
Kila nyuzi humu ni kuhusu usaliti
Hivi inakuaje unamuwazia mwenzio kukusaliti…
Nyuzi za kuchapiwa tu za kuhisi mara ooh mliooa wanawake wafanyakazi wanaliwa na maboss [emoji3]
Mara kama umemuacha houseboy nyumbani ujue anakula mkeo
Hiyo mindset yenu inawaza usaliti tu…hayo mazingira minayoyatengeneza kwenye ufahamu wenu shetani anawachora mwisho wa siku mdomo uumba…
Kama wewe ulishachetiwa na mkeo kazini kwao usiconclude wanawake wote huliwa maofisini mwao
Hii picha munayoitengenezaa munawaogopesha na wenginee ambao mapenzi yao yapo moto moto
Nawasilisha[emoji23]
Stupid
Kaeni chini myamalize na babamzunguSijakosea ndio nilichomaanishaa
Wanaume wa nyakati hizi hamjiamini muda wote munawaza usaliti usaliti usaliti usaliti
Kila nyuzi humu ni kuhusu usaliti
Hivi inakuaje unamuwazia mwenzio kukusaliti…
Nyuzi za kuchapiwa tu za kuhisi mara ooh mliooa wanawake wafanyakazi wanaliwa na maboss [emoji3]
Mara kama umemuacha houseboy nyumbani ujue anakula mkeo
Hiyo mindset yenu inawaza usaliti tu…hayo mazingira minayoyatengeneza kwenye ufahamu wenu shetani anawachora mwisho wa siku mdomo uumba…
Kama wewe ulishachetiwa na mkeo kazini kwao usiconclude wanawake wote huliwa maofisini mwao
Hii picha munayoitengenezaa munawaogopesha na wenginee ambao mapenzi yao yapo moto moto
Nawasilisha[emoji23]
Kaeni chini myamalize na babamzungu
Umeamua umuue sio?Hayupo tena