Wanaume wa siku hizi hamjiamini

Wanaume wa siku hizi hamjiamini

Sijakosea ndio nilichomaanishaa

Wanaume wa nyakati hizi hamjiamini muda wote munawaza usaliti usaliti usaliti usaliti

Kila nyuzi humu ni kuhusu usaliti

Hivi inakuaje unamuwazia mwenzio kukusaliti…

Nyuzi za kuchapiwa tu za kuhisi mara ooh mliooa wanawake wafanyakazi wanaliwa na maboss [emoji3]
Mara kama umemuacha houseboy nyumbani ujue anakula mkeo

Hiyo mindset yenu inawaza usaliti tu…hayo mazingira minayoyatengeneza kwenye ufahamu wenu shetani anawachora mwisho wa siku mdomo uumba…

Kama wewe ulishachetiwa na mkeo kazini kwao usiconclude wanawake wote huliwa maofisini mwao

Hii picha munayoitengenezaa munawaogopesha na wenginee ambao mapenzi yao yapo moto moto

Nawasilisha[emoji23]

Tumechoka kula uporo!
Zamani unashika kitata unanyonga na kususukuma mlango ndio ufunguke!💪👍
Siku Hizi ukielekeza kidole mlango umesha funguka!
Mlango wa uwani utasikia mlio ndiiii...
Siku Hizi kama exhaust muffler imechanika utasikia pwapwapwapwa paratatataaa...utamuona na ndogo ya maji anawahi chooni!🙄😜
Endeleeni tu tutawazira na kuhamia kwenye midoli ya Kichina...
 
Sijakosea ndio nilichomaanishaa

Wanaume wa nyakati hizi hamjiamini muda wote munawaza usaliti usaliti usaliti usaliti

Kila nyuzi humu ni kuhusu usaliti

Hivi inakuaje unamuwazia mwenzio kukusaliti…

Nyuzi za kuchapiwa tu za kuhisi mara ooh mliooa wanawake wafanyakazi wanaliwa na maboss [emoji3]
Mara kama umemuacha houseboy nyumbani ujue anakula mkeo

Hiyo mindset yenu inawaza usaliti tu…hayo mazingira minayoyatengeneza kwenye ufahamu wenu shetani anawachora mwisho wa siku mdomo uumba…

Kama wewe ulishachetiwa na mkeo kazini kwao usiconclude wanawake wote huliwa maofisini mwao

Hii picha munayoitengenezaa munawaogopesha na wenginee ambao mapenzi yao yapo moto moto

Nawasilisha[emoji23]
 
Back
Top Bottom