Wanaume wa Tanzania hawaogi, Hawafui nguo za ndani, Hawapigi mswaki?

Mibas moja tu. . .
Nafua usiku navaa asubuhi!!

kwahiyo kauka nkuvae...kweli nimeamini ukiolewa shurti usivae kyupi ili iwe rahiso...iwebojuuu
 
Last edited by a moderator:
ye amenusa hilo libikini lake akaona mmmmmmmmmmmmmmmmm kama


Kwa Saburi lipi basi la kuvalia Bikini?
Mavi yake namsikitikia tu kwa kauli yake ya kusema ''wanaume wa Tanzania''...

so hapa ina maana kamshambulia mpaka
1. Baba yake ambaye Damu na Mifupa yake iko juu yake,
2. Kaka zake,
3. Wajomba zake walioshea ziwa Moja ni bimkubwa wake,
4. Baba zake wadogo na wakubwa,
5. Babu yake mzaa Baba na Babu mzaa Mama...

woote hao Vikwapa vyao vinatema, Boxer zao ndio hazitamaniki yaani mpaka dondola anajenga na anazaa bila wao kujuwa, midomo yao wakizungumza inatema utadhani wamefunga siku 3 mfulizo.
loh usie na haya wala kujuwa vibaya hapa umechemka.

Kuna kanga zimeandikwa ''KAMA MSEMAJI SEMA YA KWAKO''...

Ushuzi we
 
umesahau na mabosi wake hapo clouds akina kusaga
 
mnampandisha chat tu huyo ajuza mwenye stress hadi kwenye unyayo LOL!
 
Anapelekwesha na vijidume vya bongo flavour na movie wakati vinatoka kuperform kwenye majukwaa unategemea nini?.amekwisha zeeka kifua utafikiri anawajukuu.
 
Tangulia nakuja.

MMU imefika page ya 90...tuhamie kule!mm bado sijatukana...na TUSI langu hakuna ambaye amelitaja so far...ntakua wamwisho...tukaneni yenu yooote yaishe.. Mamndenyi nenda kule stoo kalete matusi!...
 
wanaume waliamua kumchana diva live
kuna mahali niliona picha yake
yuko mtupu kama alivyozaliwa
kaweka na kamkono kwenye
urithi wa bibi. naona mlimkomesha kweli kweli.

Nimeenda facebook nimekuta wanatangaza kaiaga dunia
 
daaa aiseee diva noma amewakamataje wanaumee hahahaaaaaa:israel:
 
huu utafiti hauna mbele wala nyuma sina uhakika na hili ila naona ni malaya wa kutupwa maana anajuaje wanaume wa kitanzania tunanuka?
 
wakaka wamekuja juu,kwa maneno na kashfa tele kwa dada wa watu....kafueni boxer....................hehehhhehe embu nicheke mie....

Who is she by the way? Akamfunde bwana wake,sisi wake zetu wanatekeleza wajibu wao ipasavyo,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…