Wanaume waachwe kuwa wanaume wanapitia Mengi sana. Soma huu mkasa

Baada ya shetani kwa uovu anafatia mwanamke.. ndio maana walielewana hata pale bustanini Edeni.. mwanamke na shetani ni pacha kimtindo
Katika iyo nyanja mwanamke yupo juu ya shetani. Shetani akitumia mbinu zake zote kukutingisha na akashindwa karata yake ya mwisho ni kufanya kolabo na mwanamke, shatani alimshindwa Adam akahitaji msaada wa Hawa, alimshindwa Samson akahitaji msaada wa Delila
 
Jana nilifanikiwa kujinyonga nikafa basi msibani tulikula sana.
Nadhan kesho tutasambaa baada ya mazishi.

Nitarudi kusoma Uzi huu Wacha nimalizie Ginyako yangu hapa.

Mmoja anisaidie ku like nirudi
 
Ubarikiwe kwa story nzuri. Ujumbe umewafikia bila shaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…